Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Sasa Tanga ikisema iandike waraka wake si ndo itakuwa shughuli?Ukiangalia mabaki ya magofu ya viwanda unaweza lia.Ndio mana Magufulia alisema Tanga tumeiharibu sisi wenyewe.Hiyo sisi wenyewe sjui ndo Serikali ama ni akina nani??
 
Wahaya si huwa wanasema mambo yao safi, imekuwaje tena wanalialia njaa.
 
Naomba uitoe Simiyu mkuu! Wasukuma wa Ntuzu hawajawahi kuwa wazembe! Msikuruouke kuandika tu vitu humu!

Mkuu, Simiyu unaweza iweka katika list ya mikoa iliyofanikiwa kimaendeleo? 🤔🤔
 
Mamboengine ukisoma unatani kulia. Na mtu akikupa AK 47 hauchelewi kuwa-Hamza wapuuzi fulani huko ccm
 
Kila mtu ana maisha yake lakin....

Maisha sio lazima yafanane Kila mtu ana vipaumbele vyake katika maisha ...



Kila mtu atafute maisha yake sio kuwa tegemezi ya watu walio mjini...

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Kwa hio mama yako anashindia mlo mmoja kijijini wewe uko dar gari yako unaoshea maji ya uhai.
 
Jibu hoja. Prof. ama Masilingi hawana hela za kuendeleza maeneo wanakotoka. Kwa mujibu wa katiba yetu budget inapangwa na serikali chini ya uongozi wa rais. Yeye ndiye anaeamua kiasi gani kiende wapi. Ndiyo ya lugha iliyoanza kuzoeleka sasa ya kumpongeza na kumshukuru rais kwa kila jambo la maendeleo linalofanyika nchi nzima. Kwa mantiki hiyo Prof ana haki kabisa ya kuandika aliyoandika. Kama tutakubali kuwaruhusu viongozi wetu waelekeze mipango ya maendeleo sehemu wanazotoka na kusahau sehemu zingine tutafanya sehemu ambazo hazina viongozi wa kitaifa ziachwe nyuma kimaendeleo. Ndiyo maana tunataka katiba mpya itakayogawa keki ya taifa kiusawa.
 
Nilitegemea kuona andiko/hoja mbadala wa hoja za Prof. Tibaijuka, lakini umeishia kufanya personal attack kwa Tibaijuka na Masilingi.
 
Mingine niliacha muongezee wadau, ndio maana nikaweka kwenye mabano kwamba hiyo nimetaja ni michache kwa sababu niliona kama nakaribia kutaja mikoa ya Tanzania nzima 😂😂
Ukitoa Dar, Mwanza, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya na Kagera kwingine kote ni aibu tupu
 
Kusoma kwingi kumbe ni kuichosha akili tu. Huyu ni msomi kwa level ya Prof ambaye amewahi kuwa Waziri kwa nafasi au nyakati tofautitofauti. Hakuwahi kuwa na mchango wa maana kwa Taifa na hata Mkoa. Alikuwa Waziri mzigo. Leo anatafuta wa kuwalaumu wakati na yeye ni sehemu inayopaswa kulaumiwa. Hovyo sana.
 
Sasa sisi tufanyeje kama mnafunga mipaka yote ya Uganda,Rwanda na Burundi...


Sijui hizi kuuza kahawa yako au vanilaa yako Uganda ni kama umeuza bangi???

Acha tu tukimbie huu mkoa na kubaki kujenga nyumba Kali vijijini za kufikia na kuzikwa
Ile vita yako na mkoa wa Kilimanjaro naona imeisha rasmi.
 
Maendeleo sio uchawi na wala hayahitaji mambo mengi, popote penye watu walioelimika na mitaji isiyoumiza (Banks/mikopo) lazima maendeleo yawepo, wahaya fungueni mabenki kwenu kama mnataka maendeleo
 
lkn wao wahaya wanajisibu kuwa mkoa wao wako vzr sasa hata wengine tulikuwa tunawashangaa wako vzr kwa lipi?ati kwamba wana makazi bora na wamesoma sana sasa si wautumie huo usomi kutatua matatizo yanayowakabili?kama mmesoma lkn hiyo elimu mliyoipata imeshindwa kutatua shida zenu basi mjitafakari ni wapi mlipodondokea.Kazi na Iendelee.
Kwanza aache kumuita “mama“ pili hana nia (kuhusu uwezo wake sijui) ya kufanya chochote kupunguza umaskini Tanzania vinginevyo Bwawa la kuzalisha umeme lingemaliziwa lkn linapotezewa, umeme hakuna umaskini ataushughulikia vipi ?
 

Mkuuu badala ya kutudhiaki tushaulini kipi cha kufanya ili tujikwamue,Namkubali sana sisi ni mabishoo ila tuoneeni huruma tu
 
Mkuu, Simiyu unaweza iweka katika list ya mikoa iliyofanikiwa kimaendeleo? 🤔🤔
Kama hulijui hilo kwamba simiyu ni moja ya emerging giants basi huijui tanzania inabidi uongee na mkuu wa mkoa wa Simiyu Kafulila akupe siri. Wasukuma watu wa kazi jomba. Mkoa ule ni mpya ulianza miaka ya 20210 leo hii huwezi kulinganisha na makao makuu ya mkoa wa Kagera au PWANI
 
We mwenyew unajua system ya hii nchi..

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wakisikia simiyu au shinyanga anachukulia poa! Nakwambia pale bariadi Simiyu kuna wanaume wanapesa ni shida!
 

Bahati mbaya takwimu hazioneshi hivyo...

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…