Wahaya wakubali kuachia ardhi wengine wawekeze.Nasikia wasukuma wananunua sana maeneo ya mapori ya Karagwe na Biharamuro wanakwenda kufanya kilimo na ufugaji.Soon Bukoba itapaa, wasukuma wanasukuma maendeleo sehemu mbali mbali maana ni watumiaji Wazuri na wawekezaji Wazuri.Angalia Katavi, Marinyi, Kilosa morogoro, Lindi, Mbalali, Kasulu.Sukuma hawana utani linapokuja swala la uwekezaji katika kilimo na mifugo
Nchi hii sisi waha/Wamanyema tunaongoza kuukimbia mkoa wetu adhimu wa Kigoma.Wahaya wanabadilishana nafasi na wenzao waha mmoja mwaka huu anakua wa kwanza mwingine anakua wa pili kutoka mwisho
Uvivu, Roho mbaya, ubinafsi, nankibaya zaidi sasa hivi wamekuwa washirikina....... sana! Ni ajabu kusikia mkoa wa Kagera ni mkoa masikini; ajabu mno! Mkoa ambao ni evergreen throughout the year kwanini uwe masikini? Dah!
U profesa wake hauba faida naonaKwanza aache kumuita “mama“ pili hana nia (kuhusu uwezo wake sijui) ya kufanya chochote kupunguza umaskini Tanzania vinginevyo Bwawa la kuzalisha umeme lingemaliziwa lkn linapotezewa, umeme hakuna umaskini ataushughulikia vipi ?
Hili ndio lile kasri lake kama sikosei[emoji2][emoji3577]Kweli watu mna majungu kweli.
...
Shule kwanza inaitwa kajumulo Alexander secondary school jina la mme wake.
Huyo tibaijuka kawekeza sana tu bukoba haya ni makazi yake huko kijijiniView attachment 2084032
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Njombe ina maendeleo kuliko huko kwa akina nshomile[emoji2][emoji2][emoji3577]Huyu Mama kuitaja Kilimanjaro kuwa Ina maendele kuzidi Kagera atapingwa na wahaya wenzake wa JF
Hahaaaaaaa
Sehemu yoyote ambayo wazawa hawataki kuchangamana na wageni hubaki duni hivyo hivyoMiaka 30 ijayo Kilimanjaro na Kagera itakua Kati ya mikoa duni nchini. Naiona Pwani, Morogoro Iringa, Mwanza, Geita, Mbeya Njombe kuaendesha uchumi. Shida ya Kagera na Kilimanjaro ni ukabila wazawa ni wabinafsi sana, wageni wanabaguliwa sana, ardhi imekumabtiwa na wenyeji.
Maendeleo huletwa na wageni. Miji/mikoa isiyokua na ukabila na uzawa itaendelea tu.
Kagera Wahaya waendelee na katelelo tu wamwagiane maji wao kwa wao. Na wilaya za Ngara na unayambo zitaendelea Buhaya itabaki duni mpaka waache ukabila
Sent from my Lenovo L38111 using JamiiForums mobile app
Hao maengineer uchwara wamewasaidia nini? Kama wasomi mnao tokea uhuru lakini bado mnalialia hapa! Stend tu mmeshindwa kujenga!Kwan mpaka mshike uchumi????
Ishu ni kuhakikisha wew na ukoo wako mnatoka katika ujinga na umaskini.....
Wahaya wa Sasa walishatoka katika zama za kutumia nguvu nyingi akili kidogo kama ngoshaz...
Hebu tafuta makampuni ya ujenzi,wamiliki wa shule( karibu shule zote zinazofanya vizr tz hii zinamilikiwa na wahaya)
Tafuta engineering companies kama biotech,abemulo, luganuza, Rabininsia, Kairuki,kareju na mshumbusi zote zinamilikiwa na Koo za kihaya...
Koo za kihaya zimeenda mbali na kukuta maingeneer humo,madaktari,walimu ,wafanyabiashara humo.....
Ndo maana elimu inakumbatiwa sana
Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Ni lini na wap stendi ikajengwa na kabila?Hao maengineer uchwara wamewasaidia nini? Kama wasomi mnao tokea uhuru lakini bado mnalialia hapa! Stend tu mmeshindwa kujenga!
Elimu ndiyo kila kitu, huoni msukuma mwemzenu aliyekuwa anaiponda elimu anavyotambia phd yake feki.Wahaya bhana kujitutumua! Niambie hata huko kanda ya ziwa wapi mmeshika uchumi!? Kwenye madini hampo,biashara za kawaida mpo wachache, yaani nyinyi mmekazania elimu tu lakini niwakumbushe elimu ya makaratasi bila maarifa ya kutafuta maisha kila sehemu mtabaki kama mlivo!
Wakati anasema kadiri unavopanua ndo watu wanazid kutaman ulikua wapiTibaijuka Yeye amekua Waziri katika Serikali, mbona hatujawai kusikia anawasemea wana kagera, amekuwa mbunge miaka 10, hatukuwai kuona hata akisemea zao kuu la biashara kahawa, wakati Nchi jirani Uganda kahawa ni bei ni zaidi ya mala 3, mpaka kagera tunatamani kuuza Uganda.Tibaijuka alichokifanya alipopata ubunge na uwaziri ni kujimilikisha aridhi tu,akuna alichosaidia chochote, Sasahivi eti anapiga kelele.
Elimu ndiyo kila kitu, huoni msukuma mwemzenu aliyekuwa anaiponda elimu anavyotambia phd yake feki.
Jamani tuwe wakweli.Huyu mama ameandika ukweli.Mkoa umetelekezwa.Hakuna shughuri za vijana kujipatia kipato.Maeneo ya ardhi ambayo yalitumika kulima mazao Kama njugu mawe, ulezi,Karanga, mtama, hayapo tena.Yamenunuliwa na watu ambao wanaishi nje ya mkoa na kupanda miti. Kwakweli hili ni janga kubwa. Wahaya wamebakiza kwenda nyumbani wakati wa misiba na Christmas kwa kuwanunulia vijana waliochoka gongo.Nyumba za kifahari zilizojengwa vijijini wanaishi popo.Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269
Mama wa Milioni 10 pesa ya MbogaNawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wazalendo wote nchini na Duniani kwa Ujumla
Nimeambatanisha Waraka Kutoka kwa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu uduni wa Maendeleo kwa Mkoa wa Kagera
View attachment 2082264
View attachment 2082267
View attachment 2082268
View attachment 2082269