Kwan mpaka mshike uchumi????
Ishu ni kuhakikisha wew na ukoo wako mnatoka katika ujinga na umaskini.....
Wahaya wa Sasa walishatoka katika zama za kutumia nguvu nyingi akili kidogo kama ngoshaz...
Hebu tafuta makampuni ya ujenzi,wamiliki wa shule( karibu shule zote zinazofanya vizr tz hii zinamilikiwa na wahaya)
Tafuta engineering companies kama biotech,abemulo, luganuza, Rabininsia, Kairuki,kareju na mshumbusi zote zinamilikiwa na Koo za kihaya...
Koo za kihaya zimeenda mbali na kukuta maingeneer humo,madaktari,walimu ,wafanyabiashara humo.....
Ndo maana elimu inakumbatiwa sana
Sent from my Nokia C1 using
JamiiForums mobile app