Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Waraka wa Profesa Anna Tibaijuka kuhusu Maendeleo ya Mkoa wa Kagera. "Kagera Twafa"

Sera nyingi za ujamaa zimelifanya taifa kuwa masikini na omba omba.

Hii ya uhujumu uchumi mpaka Leo imekuwa kichocheo Cha kuharibiana kimaisha na kinfumo na ni kubambikiana tu. Na ndio fimbo kubwa inayotumiwa na watawala kuwaharibia wengine
Ukielewa misingi ya Itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea huwezi kuandika haya ulioandika hapa.

Tatizo mnapenda sana kulalamika kwa kushindwa kutafsiri kwa usahihi mawazo fulani au kwa utekelezaji dhaifu wa watendaji wa umma na wananchi kwa ujumla.

Hakuna nchi ya Kijamaa ambayo ni omba omba.

Nchi na sera za Kijamaa zinasisitiza kila mwananchi lazima achape kazi ili kuondoa dhuluma na utegezi katika ujenzi wa taifa.
 
Alikuwa Kiongozi Mkubwa UN alishakuwa Waziri...kama huko kote hakuona cha kufanya anataka Mama afanye nini?.

Kwani chanzo cha utajiri wakati huo ilikuwa ni nini na je bado kipo?.
 
Mbona yeye hata shule zake amewekeza Mwanza,badala ya Bukoba.

Huyu mama amepagawa baada ya kuona bibi kizee mwenzake Muramura amepewa ulaji wakati yeye akisahaulika ingawa naye alikuwa huko UN-HABITAT.

Huo ndio ukweli,hakuna lingine wala nini?

Yeye si anakula za Museveni kidogo kidogo, shida yake nini?

Bado za mboga kutoka kwa Rugemalira!

Bado malori semi trailers zinapishana barabarani zikisomba cement,kwa mgongo wa Texas!

Kweli mama ana tamaa ya FISI.
Kumbe TEXAS huyu mama ana mkono wake mule
 
Umeumbuka na thread zako zamajigambo,
Si huwa unasema kagera imeendelea sana,kuna majumba yakifahari vijijini kabisa!

Mkiwa dar magari yenu mnaoshea maji ya uhai wakati ndugu zenu wanashindia mlo mmoja kijijini,hopeless kabisa!
Mkoa kuwa GDP ndogo hauzuii watu kuwa na nyumba Kali vijijini....


Nyumba Kali zipo na zitaendelea kuwepo



Kumbe huwa mnaumia sana mkiona nyumba kama zile vijijini....


Kuwa na makazi Bora ni tofauti sana GDP....

FB_IMG_16423457357545841.jpg
images%20(2).jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Hivi utakuwa timamu kuoshea gari maji ya dukani wakati ndugu zako kijijini wanakula mlo mmoja kwa siku?
Kila mtu ana maisha yake lakin....

Maisha sio lazima yafanane Kila mtu ana vipaumbele vyake katika maisha ...



Kila mtu atafute maisha yake sio kuwa tegemezi ya watu walio mjini...

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona ujumbe mzuri tu hakuna tatizo.
Kwa maoni yangu kagera wamerudi nyuma kwa kujifanya kila mtu mjanja kupitiliza na bila shaka watu wa kagera ndio wanaongoza nchi kwa utapeli. Spirit ya kutaka mali haram bila jasho inawatawala. And then watu wa asili ya kagera wanahama kabisa kutafuta hawakumbuki kujenga kwao.
Hawakumbuki kwao sio
FB_IMG_16423457357545841.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Ukielewa misingi ya Itikadi ya Ujamaa na Kujitegemea huwezi kuandika haya ulioandika hapa.

Tatizo mnapenda sana kulalamika kwa kushindwa kutafsiri kwa usahihi mawazo fulani au kwa utekelezaji dhaifu wa watendaji wa umma na wananchi kwa ujumla.

Hakuna nchi ya Kijamaa ambayo ni omba omba.

Nchi na sera za Kijamaa zinasisitiza kila mwananchi lazima achape kazi ili kuondoa dhuluma na utegezi katika ujenzi wa taifa.
Safi sanaaaa hasa mstar wa mwisho uko powa sanaaa
 
Wahaya kama wanadhani wamesahaulika basi itakuwa hawajui hali za mikoa mingine mathalani Lindi, Mtwara, Pwani, Rukwa, Singida, Manyara, Simiyu (hii ni michache tu)...

Mkoa kama wa Pwani ndio hata haueleweki wapi ni wapi, kila wilaya ipo kivyake vyake, kuna wilaya haziunganishiki kwa barabara ya lami pamoja kuwa karibu...
 
Mali alizo Nazo Tibaijuka nusu na robo ya Mali zake ziko mikoa mingine kwa nininl hakuwekeza kwao? Ze same bushit to Masilingi na ndevu zake kama kamshungu shungu leo hii wako nje ya mfumo wanaona mkoa ukidorola wanaanza kelele.[emoji15][emoji3064]
Huyu masiligi si ndio alimbania mzee Mzalendo mzawa kilimanjaro hotel kisa mchaga tu na huku ni mtanzania nawenzake akaamua kuwapa waarab? Na ksmtia mlevi kafara kwa kutumia suma jkt kwa kumlisha shaba.
 
Wahaya hawapendani, sehemu yoyote esie karibisha wageni, na imeja wivu na fitina miongoni mwao haiwezi kupata maendeleo, walio endeleza dar sio wenyeji
Sidhani kama hi ndio sababu, what about Kilimanjaro? Ni rahisi kwa mgeni kununua ardhi Bukoba/Kagera lakini ni ngumu sana kwa mgeni kununua ardhi Kilimanjaro
 
Waraka unaosemekana umeandikwa na Prof Msomi wa kihaya Anna Tibaijuka ukionesha Dunia jinsi mkoa wa Kagera unavyorudi nyumba kimaendeleo ni waraka ambao umebeba ujumbe ambao haukustaili kuandikwa na Anna Tibaijuka, au mtu kama Wilsoni Masilingi.

Watu hawa wekuwa viongozi wa wakubwa katika serikali za awamu tofauti, mathalani mtu kama Prof amekuwa mbunge wa huko huko mkoani kagera lakini unaambiwa hakuna Alichokifanya zaidi ya kusambaza maji pale Muleba.

Ukienda kwa ta Mwami Wilsoni Masilingi aliishia kuchonga ndevu na kupaka piko bungeni hakuna aliro lifanya ,leo hii wapo nje ya mfumo wanaanza kuropoka ovyo pasipo kuja na suluhisho.

Mali alizo Nazo Tibaijuka nusu na robo ya Mali zake ziko mikoa mingine kwa nininl hakuwekeza kwao? Ze same bushit to Masilingi na ndevu zake kama kamshungu shungu leo hii wako nje ya mfumo wanaona mkoa ukidorola wanaanza kelele.

Anna Tibaijuka akiwa mbunge alishindwa hata kuomba barabara ya lami leo hii barabara zinajengwa anaona wivu yeye aliishia kuongea lugha za ajabu ajabu bungeni mfano ile ya KUPANUA na nyingine atulie hata afanyeje Samia hawezi enda na kizee kama yeye apambane na Hali yake.
Huyu bibi ni mnafiki sn
 
Wahaya kama wanadhani wamesahaulika basi itakuwa hawajui hali za mikoa mingine mathalani Lindi, Mtwara, Pwani, Rukwa, Singida, Manyara, Simiyu (hii ni michache tu)...

Mkoa kama wa Pwani ndio hata haueleweki wapi ni wapi, kila wilaya ipo kivyake vyake, kuna wilaya haziunganishiki kwa barabara ya lami pamoja kuwa karibu...
Toa weka Tanga
 
Wahaya kama wanadhani wamesahaulika basi itakuwa hawajui hali za mikoa mingine mathalani Lindi, Mtwara, Pwani, Rukwa, Singida, Manyara, Simiyu (hii ni michache tu)...

Mkoa kama wa Pwani ndio hata haueleweki wapi ni wapi, kila wilaya ipo kivyake vyake, kuna wilaya haziunganishiki kwa barabara ya lami pamoja kuwa karibu...
Naomba uitoe Simiyu mkuu! Wasukuma wa Ntuzu hawajawahi kuwa wazembe! Msikuruouke kuandika tu vitu humu!
 
Bora hata uweke Kigoma au Katavi lakini siyo Manyara

Mingine niliacha muongezee wadau, ndio maana nikaweka kwenye mabano kwamba hiyo nimetaja ni michache kwa sababu niliona kama nakaribia kutaja mikoa ya Tanzania nzima 😂😂
 
Back
Top Bottom