Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
[emoji120][emoji120][emoji120]Shura ni neno la kiarabu lina tafsiriwa kuwa "Kikao cha mashauriano" au Mashauriano
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji120][emoji120][emoji120]Shura ni neno la kiarabu lina tafsiriwa kuwa "Kikao cha mashauriano" au Mashauriano
hahahhh tatizo serikali yako ya ccm ilikosa ushahidi.Mbona hiyo shura ya Maimamu haijaelezea jinsi yao Masheikh walivyoasisi umwagiaji wa tindikali kwa watalii wanaoletea kipato Zanzibar?
Mbona hawajaeleza jinsi walivyommwagia Padri tindikali?
Mbona hawajeleza walivyoratibu mauaji ya watalii watatu Mombasa kwa kushirikiana na Masheikh magaidi wa Mombasa?
Mbona hawajaeleza kinagaubaga juu ya Uchochezi waliokuwa wanaleta juu ya Waislam wa BAKWATA na Wakristo?
Mkileta nye nye nye...Fimbo chaapaa!!
Mtafurahi wenyewe yaani
Huo si Ujinga ni UKWELI
Mkiguswaga kwnye ukweli huwa mnapandwa jazba sana Waislam
ShauriNaomba kujua maana ya neno SHURA au neno lenye maana sawa na SHURA au ni JUMUIYA??
Wakati mwingine mnapaswa muone aibu, hata mnyama kuna wakati anaweza kujizuia jambo baya kwa kuogopa macho ya watu.
Miaka 8 sasa Serekali ilikuwa inatafuta ushahidi, bado imeshindwa kithibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao. Tungekuona wa maana sana kama ungepeleka ushahidi huo pamema ofisi ya DPP ili wafungwe au wanyongwe. Hapo ungekuwa umelitendea taifa jambo jema.
Watu wana pewa tuhuma za uongo, wanateswa. Kwa ukristo wako bado unaona ni jambo jema... Kwa kukosa kwenu kithibitisha tuhuma zao mmebaki kila mkiamka Padr walimwagia tindikali. Ni kweli hamjui tukio la Kiongozi wenu wa dini na kwa nini alimwagiwa tindikali? Au mnaamua kuficha huo uovu?
Mwenyezi Mungu amekuaibisheni sana katika tukio hili, ukiona mtu mzima kavuliwa nguo kisha akasimama na kuanza kukimbia jua huyo ni kichaa namba 1
Leteni tena Ugaidi hapa nchini muoneAkili zako fupi sana wewe,Sasa Kama kweli ulikuwa na uhakika Hawa masheikh wamefanya kosa Hilo wewe ulikuwa wapi wakati watu wanatafuta ushahidi? Umeshindiliwa mapropaganda na wewe ukajaa mzima mzima.Mahakama imewaachia kwa vile hawana hatia ila wewe ndo bado hujaridhika yan au siyo....Muachage kurukia mambo msiyoyajua.
Hiyo pesa watoe wapi hao inama inuka wavivu wala tende?msituletee upuuzi nyie watu wa kulishwa tu kila siku,Vita ni vita mura:
"Shura ya Maimamu kila siku ilipeleka gerezani chakula cha wastani wa chini wa Shilingi laki tatu (300,000), katika magereza ya Dar es Salaam. Walifanya hivyo toka mwaka (2013), mpaka mwaka huu (2021). Fedha hizi zilitolewa kwa moyo wa huruma na waumini katika Misikiti mbalimbali Bara na Visiwani pamoja na watu wengine walioguswa na moyo wa ubinadamu."
Wapigania haki hapa pana funzo zito!
Hiyo pesa watoe wapi hao inama inuka wavivu wala tende?msituletee upuuzi nyie watu wa kulishwa tu kila siku,
Bora hata mpotezwe jumla pumbavu sana.
Na bora wakae kimya
Sasa matusi ya nini ndugu. Mbona unachuki mbaya kwa waislamu.Hiyo pesa watoe wapi hao inama inuka wavivu wala tende?msituletee upuuzi nyie watu wa kulishwa tu kila siku,
Bora hata mpotezwe jumla pumbavu sana.
Na bora wakae kimya
JAMBO KUU LA MUHIMU HAPA NI KWA MIAKA HII 8, WAMENYOSHWA VYA KUTOSHA.HATA KAMA TUTAANDIKA HAPA NINI NA NINI. SERIKALI INGEWEZA KUKAMATA MASHEHE WOTENA KUWAFUNGA, KWA NINI HAO WACHACHE?Wakati mwingine mnapaswa muone aibu, hata mnyama kuna wakati anaweza kujizuia jambo baya kwa kuogopa macho ya watu.
Miaka 8 sasa Serikali ilikuwa inatafuta ushahidi, bado imeshindwa kithibitisha tuhuma dhidi ya Masheikh hao. Tungekuona wa maana sana kama ungepeleka ushahidi huo mapema ofisi ya DPP ili wafungwe au wanyongwe. Hapo ungekuwa umelitendea taifa jambo jema.
Watu wana pewa tuhuma za uongo, wanateswa. Bado unaona ni jambo jema... Kwa kukosa kwenu kithibitisha tuhuma zao mmebaki kila mkiamka Padri walimwagia tindikali. Ni kweli hamjui tukio la Kiongozi wa dini na kwa nini alimwagiwa tindikali? Au mnaamua kuficha huo uovu?
Mwenyezi Mungu amekuaibisheni sana katika tukio hili, ukiona mtu mzima kavuliwa nguo kisha akasimama na kuanza kukimbia jua huyo ni kichaa namba 1
kwann usipeleke huu ushahdi?? maana serikali imekaa miska 8 bila ushahidi na kesi wameshindwa mara mbili, ficha ujinga wako,suala hili halikuwa kidini ndo maana hta michango ilitolewa na watu wa imani zote,na kelele zilipigwa na watu wote,na hata hoja zao za kukamatwa hazikuhusiana na dini,zilianzia ktk jukwaa la katibaMbona hiyo shura ya Maimamu haijaelezea jinsi yao Masheikh walivyoasisi umwagiaji wa tindikali kwa watalii wanaoletea kipato Zanzibar?
Mbona hawajaeleza jinsi walivyommwagia Padri tindikali?
Mbona hawajeleza walivyoratibu mauaji ya watalii watatu Mombasa kwa kushirikiana na Masheikh magaidi wa Mombasa?
Mbona hawajaeleza kinagaubaga juu ya Uchochezi waliokuwa wanaleta juu ya Waislam wa BAKWATA na Wakristo?
Mkileta nye nye nye...Fimbo chaapaa!!
Mtafurahi wenyewe yaani
Huo ni Uzushi kama ule wa Mohammad (S.A.W)padri alikuwa muuza unga akawazulumu wenzao
zmbona wameachiwa wazanzibari tu wa bara mbona wamo jela
Ushahidi unao ikiwa serikali haina wewe unao?Mbona hiyo shura ya Maimamu haijaelezea jinsi yao Masheikh walivyoasisi umwagiaji wa tindikali kwa watalii wanaoletea kipato Zanzibar?
Mbona hawajaeleza jinsi walivyommwagia Padri tindikali?
Mbona hawajeleza walivyoratibu mauaji ya watalii watatu Mombasa kwa kushirikiana na Masheikh magaidi wa Mombasa?
Mbona hawajaeleza kinagaubaga juu ya Uchochezi waliokuwa wanaleta juu ya Waislam wa BAKWATA na Wakristo?
Mkileta nye nye nye...Fimbo chaapaa!!
Mtafurahi wenyewe yaani