Malunde- Malundi,
Mkuu hata siku moja huwezi kuniona mimi nikifundisha Kuran kwa sababu sii zangu wala sina kazi ya kumbadilisha mtu kwani dini ni chaguo la Mhusika..Atasoma vitabu kujielemisha yeye mwenyewe..
Kinachoniudhi mimi ni pale mtu anapotumia neno Waislaam kama vile watu wasiokuwa na akili. sasa ikiwa kweli mnatuyona hatuna akili ya nini kuzungumza na vichaa..
I respect mchango wako bila kujali dini yako lakini unapokuja nitangazia dini yako ni lazima nawe ukubali mawazo yangu maanake hakuna kati yetu aliyeandaliwa pepo (Heaven) tayari..
Mkuu hata siku moja huwezi kuniona mimi nikifundisha Kuran kwa sababu sii zangu wala sina kazi ya kumbadilisha mtu kwani dini ni chaguo la Mhusika..Atasoma vitabu kujielemisha yeye mwenyewe..
Kinachoniudhi mimi ni pale mtu anapotumia neno Waislaam kama vile watu wasiokuwa na akili. sasa ikiwa kweli mnatuyona hatuna akili ya nini kuzungumza na vichaa..
I respect mchango wako bila kujali dini yako lakini unapokuja nitangazia dini yako ni lazima nawe ukubali mawazo yangu maanake hakuna kati yetu aliyeandaliwa pepo (Heaven) tayari..