Waraka wa waislam kwa mwelekeo tu na maneno ya akina Yahaya msoma nyota na wengineo hakika lazima utazungumzia waislam kuonewa na kutaka kuwachagua waislam hapo hakuna kitu na kama mnabisha mie nakaa kimya uletwe hapa watu watakimbia .Utakuwa aibu kwa nature tu ya jamaa zangu hawa pupa na papara .Mungu anawapigania watu na Mungu hapiganiwi na mwanadamu.Duh !! haya
Msilumbane kabla hata waraka hatujauona. Tuvute subira unakuja. Tusiandikie mate wakati wino upo. Tusubiri watatuletea tu. Hapo tutakuwa na nafasi ya kumkoma nyani . . . mchana kweupe peee!Lunyungu,
Sijasema huruhusiwi kuzungumzia OIC au mahakama ya kadhi na kutoa mawazo yako.. Tatizo lako huzungumzii OIC au mahakama ya kadhi ila unazungumzia Waislaam..kwani waraka haukuandikwa na OIC au mahakama ya kadhi..
Na ili mawazo yako yapate kuhesabika au kuheshimiwa inabidi nawe kwanza weka heshima ktk mawazo ya waislaam na ujue nao pia wana uhuru kama ulokuwa nao wewe..kisha pinga hoja kwa hoja na sio kuwaona wao wajinga wasiokuwa na maana wakati wewe mwenyewe hujui unakokwenda..
Ufisadi CCM utaendelea kuwa tesa hata kama wataendelea kuziba watu midomo na majibu yao ya hovyo hovyo..Huku CHADEMA nao sijui wataibuka na hoja gani mpya? hii ya ufisadi haina mshiko tena.
hivi kwani huwa sikuzote wao wanaonekana wanaonewa tu, lkn wa Tanzania tuwe makini na hizi waraka kimbembe kitatokea kama waraka wa waislam utapingwa na serikali sijui itakuwa je........ Leo huko kenya nasikia wamevunja mkutano uliokuwa ukiwahusisha Waislam na Wakristo..Waraka wa waislam kwa mwelekeo tu na maneno ya akina Yahaya msoma nyota na wengineo hakika lazima utazungumzia waislam kuonewa na kutaka kuwachagua waislam hapo hakuna kitu na kama mnabisha mie nakaa kimya uletwe hapa watu watakimbia .Utakuwa aibu kwa nature tu ya jamaa zangu hawa pupa na papara .Mungu anawapigania watu na Mungu hapiganiwi na mwanadamu.Duh !! haya
hivi kwani huwa sikuzote wao wanaonekana wanaonewa tu, lkn wa Tanzania tuwe makini na hizi waraka kimbembe kitatokea kama waraka wa waislam utapingwa na serikali sijui itakuwa je........ Leo huko kenya nasikia wamevunja mkutano uliokuwa ukiwahusisha Waislam na Wakristo..Waraka wa waislam kwa mwelekeo tu na maneno ya akina Yahaya msoma nyota na wengineo hakika lazima utazungumzia waislam kuonewa na kutaka kuwachagua waislam hapo hakuna kitu na kama mnabisha mie nakaa kimya uletwe hapa watu watakimbia .Utakuwa aibu kwa nature tu ya jamaa zangu hawa pupa na papara .Mungu anawapigania watu na Mungu hapiganiwi na mwanadamu.Duh !! haya
Mpaka kieleweke siku hizi yuko wapi?
thread nyingine ya dini
kweli mafisadi wana mungu......
huyu mungu wao mimi ningependa kumjua ambaye anawasikiliza kila siku wakiomba dua
Anakusanya nguvu na pesa kwa uchaguzi ujoa mkuu..
Crashwise,
Mkuu huo wa waislaam umeanza kuzua fitna hata kabla haujatoka.. na maneno mengi ya kutuvuruga lakini ule ulokwisha toka na umetuvuruga haswa hauzungumziwi...
wakuu zangu nitasema hivi wewe kama Mkatoliki unapoingia kanisani ukalishwa kipande cha mkate kama (mfano wa..)mwili wa bwana na ukanywesha mvinyo kama damu ya bwana.. unaweka imani kubwa, kuamini vitu hivyo mithiri ya imani iliyojengeka kichwni mwako kuhusiana na Mungu..Mimi Muislaam nitaona ni kapande cha mkate tu (kilichotengenezwa na binadamu) na mvinyo vile vile...na nitaona yote upuuzi mtupu kuamini mnayoamini, unless mimi pia nielewe undani wa dhana nzima ya ibada hiyo..Ni lazima niwe mkristu kuweza kuelewa uzito wa ibada kama hizo..
Kinachofanyika JF ni kuhukumu kitendo cha mtu kula mkate akifikiria ni mwili wa bwana kwa imani iliyojengeka nje ya imani iliyofundishwa.. Mnashindwa kuelewa kwamba hii ni imani ambayo wewe mwingine huna na huwezi kuelewa unless umemkubali Bwana (katoliki)..sijui kama nimeeleweka.
Nimemaliza..
Waraka huo pia utawaeleza Waislamu umuhimu wa wao kujitambua na kushiriki katika uchaguzi kama kundi maslahi.
Utawaeleza Waislamu kuhusu interests yaani maslahi yao yaliyodhulumiwa kwa kuwabagua, alisema Sheikh Ponda.
Alisema, waraka huo utaeleza namna serikali ya Tanzania ilivyoipendelea na inavyoendelea kuipendelea dini moja na kusababisha uwepo wa matabaka katika jamii ya kitanzania.
Upendeleo huo umezaa matabaka katika jamii, jambo ambalo linaendelea kuitafuna Tanzania, lakini cha ajabu Watanzania wenyewe na hasa serikali haijaona hatari hiyo, alisema Sheikh Ponda.
Cuf mmeshatekwa na hoja zenu mmekubali kuziuuza ,kwa hiyo subirini kipigo kingine cha ballot.Mimi naomba msikatae kujaza fomu baada ya matokeo.
Huku CHADEMA nao sijui wataibuka na hoja gani mpya? hii ya ufisadi haina mshiko tena.hapa tunahitaji mwanasiasa mwenye uwezo nafikiri wote waliopo uwezo wao umefika kikomo