Waraka wa waislam kwa mwelekeo tu na maneno ya akina Yahaya msoma nyota na wengineo hakika lazima utazungumzia waislam kuonewa na kutaka kuwachagua waislam hapo hakuna kitu na kama mnabisha mie nakaa kimya uletwe hapa watu watakimbia .Utakuwa aibu kwa nature tu ya jamaa zangu hawa pupa na papara .Mungu anawapigania watu na Mungu hapiganiwi na mwanadamu.Duh !! haya
Junius,
Mkuu wangu navyoelewa mimi dini inatakiwa kuingilia siasa (sio Kuingia Siasa) ikiwa haki ya wananchi inakiukwa ama hakuna Uhuru wa kuabudu.. Lakini kama mambo haya yote yanatendeka kwa utashi wa waumini wenyewe na sii nguvu ya serikali (ambayo viongozi wake ni waumini wa dini hizo zhizo) basi bila shaka dini hazihitaji mguu wake ktk siasa. Dini wanatakiwa kushauri ama kuonya machafu yanayopingana na mafundisho ya dini hizo.
Hakuna Aya, hadithi wala agano ambalo Mwenyezi Mungu amesisitiza tuwachague viongozi wa nchi zetu Mrengo wa siasa ikiwa nchi hizo zina Uhuru wote wa kuabudu Mungu huyo.
Hii habari ya waraka na sijui MWONGOZO ni mwanzo wa serikali kuonyesha imekosa nguvu na mwelekeo. Hawa wote wanaoandaa waraka ni mawazo yao, ama niseme mawazo ya watu wachache ambayo hayawezi ku represent waumini wote wa dinin hizo kwa sababu hayatokani na Aya wala sura mojawapo ya dini hiyo.. Askofu au huyo Mufti ni viongozi wanaowakilisha sehemu ndogo sana ya wafuasi wa dini hizo...
Kinachofanyika sasa hivi ni kama vile tunawaambia viongozi wa nchi yetu hawana dini ni makafir na sisi ndio waumini wa kweli.
Cuf mmeshatekwa na hoja zenu mmekubali kuziuuza ,kwa hiyo subirini kipigo kingine cha ballot.Mimi naomba msikatae kujaza fomu baada ya matokeo.
ni mdini mkuu. anawaza uislam tu wakati wote, ndo maana hatakuja achukue nchi hata siku moja. pamoja na kwamba cuf sasa ina nguvu, lakini subutu kama atachukua zenji mwakani.Hivi kwa nini Maalim Seif analia kuliko "wafiwa"? Waraka wa Maaskofu unawalenga Mafisadi na yeye sio fisadi kwa nini amepiga kelele sana kwenye kipindi cha "je Tutafika"? Au anajua ndio mwisho wa CUF Tanzania Bara?
Naamini huo waraka hautatofautiana sana kimaudhui na ule wa Katoliki. Huu nu ujumbe kwamba kuna tatizo la kiuongozi katika nchi yetu kwa hiyo lazima ifanyike intervention. Nani ata-intervene ndo hivyo wamejitokeza Wakatoliki na sasa wanakuja ndugu zangu Waislamu.
Baada ya waraka Katoloki kuhusu mwongozo wa uchaguzi, Waisilam nao wanakuja na waraka wao.Kazi kwetu kusubiri kila kund kutoa waraka wake