Tetesi: Waraka wa watumishi wa CCM walioondolewa kazini kinyume na Katiba ya Chama

Status
Not open for further replies.
Its too late Mr. Cha msingi kaa kimya uvulilie huna choice.

Hako mnakokaita ka kikundi kenu katawatokea puani...mtaongea na kudai haki zenu baada miaka 8 toka leo.
 
Heeeeeyaaaa jibu limeanza kuonyedha kichwa. Mimi hapa kati nadeku th!!!!
 
Mwandishi kasahau kumalizia na....

'Kidumu Chama Cha Mapinduzi na zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti!
 
Mbona mambo yalianza mapema na mkashangilia SKU moja si alikua anasema yy hawez kua mvumiliv kama mtanguliz wake hata 1/4 hafk.akasema ingekua ni yy SKU ile ya kale kawimbo ya ka " tunaiman na white hair" yy angefyeka robo tatu ya wajumbe..c mlicheka nyie mna mkampigia makof? Sasa mnashangaa nn akitafuta " wenye akili?" Nyie ni vilaza vichwa vipo upinzan ndo maana anawapenda na bado kafulila naye ataula maana aliwai msifia sana kipnd flan kigoma.
 
Huyu Nduli idd Amin mliyetuletea hajui habari ya katiba na sheria. Baada ya awamu yake kaya itakuwa na kazi ya kurudisha mifumo ya sirikale ili ianze upya kufanya kazi. Kaya inaongozwa kwa mawazo binafsi tena potofu ya zee lenu na Polex2
 
CCM mtabeba laana ya kutuletea hili jizi la 1.5T. Linajifanya zalendo kumbe jizi tu kama majizi wengine.
 
Walipokuwa wanaimba wataisoma namba, wao walijua watakaoisoma namba ni wazimbabwe ? Karma is like namba 69
 
Kuna mama mmoja katibu wa ccm wilaya moja ya kanda ya kati aliwahi kuniambia kitu sasa ndio naamini.. Huwezi kutumia tiss kuiendesha ccm kisiasa hata nyerere hakufanya hivyo.. Nina Imani 100% cccm itafia kwenye mikono ya KIbushuti
 
raha sana kuona wezi na mumiani wanapoanza kuchinjana wao kwa wao!
 
Mimi nimpongeze mwandishi kwa uandishi wake mzuri kabisa. Andiko limehaririwa vyema, halina typos hata kidogo.
 
Where is that "proof", if I may ask?
Your rhetoric question indicates that you are not aware about CAG report.This mean;you are either mentally lazy or retarded as revealed by TWAWEZA report that 99% of CCM supporters are mentally retarded.Find it as soon as you can to witness huge corruption scandal from our great political leader.There is no any documented government report which show the allocation of 1.5trln.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…