The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
Hahaha!! MtambuziThe Finest na Bishanga ...........Niliwaona sana hapo Dar es Salaam Serena Hotel jana, na niliwasikia mazungumzo yenu mwanzo mwisho.......LOL
HAPPY BIRTHDAY MY BRODA..................
Ahaa Partner wa temporally au wa permanent?
wewe basi nakupatia sun wu au kongosho
sintopenda kuingia kwenye hayo maongezi zaidi..
kwa hiyo sinta jibu maswali yako ... asanteeeee.
ha ha ha haa gfsonwin I guess in such matters hauitaji mtu wa ku-defend au kushauri against..wewe basi nakupatia sun wu au kongosho
The Finest ........ Ingawa mlikuwa mnazungumza kwa mafumbo, lakini kutokana na jinsi mnavyoandika Thead zenu humu JF, nilianza kuunganisha DOTS na mwisho nikapata jibu kuwa nyie ni memba wa JF, lakini je ni akina nani........ was bit challenge.................Then today umenitegulia kitendawili changu...........Thank you....... NOW I KNOW YOU PEOPLE.......................lolHahaha!! Mtambuzi
:eek2::eek2::eek2:....Sio mimi utakuwa umenifananisha Mtambuzi....lolThe Finest ........ Ingawa mlikuwa mnazungumza kwa mafumbo, lakini kutokana na jinsi mnavyoandika Thead zenu humu JF, nilianza kuunganisha DOTS na mwisho nikapata jibu kuwa nyie ni memba wa JF, lakini je ni akina nani........ was bit challenge.................Then today umenitegulia kitendawili changu...........Thank you....... NOW I KNOW YOU PEOPLE.......................lol
:eek2::eek2::eek2:....Sio mimi utakuwa umenifananisha Mtambuzi....lol
Bishanga...
umekunywa nini tu leo?? Tongwa ama Busa?
Kwa kifupi nawapenda wengi akiwepo The Finest..
Kumbeeeee, sawa tu . . .
Kumbe AD na AF ndo hivyo ilivyo? Au Bishanga anapaka tu?
Aisee we Superman naomba mshiko wangu. Wapiga debe Kongosho na klorokwini wamenishika pabaya. Shem wangu AshaDii naye kaniagiaza unipe mshiko wake nimpelekee tukajirushe kushangilia ubingwa wa Simba na Liverpool.
Lol. Superman subira yavuta heri kwahiyo kuwa na subira...hahahaKumbeeeee, sawa tu . . .
Kumbe AD na AF ndo hivyo ilivyo? Au Bishanga anapaka tu?
Duuuh Babu Aspirin MoY 2011 usahau? lol . . . . unakuwa kama NN Ngabu bana . . . kwani hujui hapa mjini haaaaa haaaa
Mkuu nilikuwa Mbali sana Ugagaikoko lakini sasa nimetia timu Kitaani so tutarekebisha.
Kama upo around town tuonane tu hata Monday au tuma mjumbe. Vinginevyo nakabidhi dhamana kwa Maxence . . .
Afu mbona AshaDii kasema atachukua mwenyewe? Mkuu angalia report ya CAG isije ikakuweka pabaya.