Waraka wa wazi kwa The Finest.

Waraka wa wazi kwa The Finest.

Last edited by a moderator:
sun wu
my dear nikisema wote ntakuwa nadanganya bali wegi ni sahihi zaidi..
usjali kwenye list umeingia , bali ukinitibua nyongo nakutoa mkuku :yawn: hahahah
KAribu..

thanks for the song.
afrodenzi

Ha ha ha haa once am in will cherish the moment and will make sure kwamba sikutibui wala sitoki.., ila nikikutibua naomba msamahaa kabla kabisa.., you know we humans are weak na makosa is part of our life.., so if i do you wrong please forgive me...
These Arms - All 4 one - YouTube
 
Last edited by a moderator:
Bishanga...
umekunywa nini tu leo?? Tongwa ama Busa?

Kwa kifupi nawapenda wengi akiwepo The Finest..

Haya wasikilizaji ile penalti iliyopigwa n TF hatimaye golikipa machachari ameicheza na kugonga mwamba kisha kutoka nje.

Kiukweli TF alipiga shuti kali lakini umakini wa golikipa umeisadia timu yake na kufanya matokeo bila bila.

Kwa mantiki hiyk Afrodensi anawapenda wengi nikiwemo mimi Losambo mtangazaji wako hapa katika mpambano ulikwisha wa sare, wengine ni PakaJimmy, Asprin, Bishanga mwenyewe, Krolokwini, Bigirita, Babu DC, BAK, Tumbiri, Mr. Rocky daaaah list ni ndefu kweli lakini wote ambao hamjaona majina yenu Afrodensi anawapenda sana.

Kutoka jukwaa MMU ni mimi mtangazaji wako nuksi Losambo.
 
Last edited by a moderator:
afrodenzi

Ha ha ha haa once am in will cherish the moment and will make sure kwamba sikutibui wala sitoki.., ila nikikutibua naomba msamahaa kabla kabisa.., you know we humans are weak na makosa is part of our life.., so if i do you wrong please forgive me...
These Arms - All 4 one - YouTube

hahahahahah don't worry sweet heart..
mi ni mtu mgumu sana ku kasirika .. Anyway welcome home (I mean in my world).. sun wu
 
Last edited by a moderator:
Haya wasikilizaji ile penalti iliyopigwa n TF hatimaye golikipa machachari ameicheza na kugonga mwamba kisha kutoka nje.

Kiukweli TF alipiga shuti kali lakini umakini wa golikipa umeisadia timu yake na kufanya matokeo bila bila.

Kwa mantiki hiyk Afrodensi anawapenda wengi nikiwemo mimi Losambo mtangazaji wako hapa katika mpambano ulikwisha wa sare, wengine ni PakaJimmy, Asprin, Bishanga mwenyewe, Krolokwini, Bigirita, Babu DC, BAK, Tumbiri, Mr. Rocky daaaah list ni ndefu kweli lakini wote ambao hamjaona majina yenu Afrodensi anawapenda sana.

Kutoka jukwaa MMU ni mimi mtangazaji wako nuksi Losambo.
Losambo
hahahahahahahahah lol wewe jamani loohh hufai
 
Last edited by a moderator:
niko timu uliyoipangua

huo upendo wa wote wa wapendwa tunajua unao

Tumefanya mazowezi weee ya nyimbo za mapokezi yako afu unasema una upendo wa wapendwa??

This is abormination to Fynesthood
Kongosho upo timu gani mpenzi?
 
Last edited by a moderator:
Yes I do 🙂

sorry, kumbe anatakiwa kujibu Fynest, kiherehere hiki nimekipata wapi, ngoja ninywe panado.

Je unampenda afrodenzi awe mke wako kwenye shida na kula bata?
 
Back
Top Bottom