sir Ganto G
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 573
- 114
funguka wambuzi vina gani anavyo mshkaji kama unataka kuthibitisha sikiliza ngoma yake aliyowashirikisha shaa na barnaba kiukweli nothing special!!!
Dah hapo hata mimi nimechoka hoi
haiko hivyo dude much love kwa mbeya but kwa izo hapana!
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri
na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!
Mimi nawaambiaga watu kwamba msanii izzo ni msanii nisiyemuelewaga kabisa watu wakahisi nina hate. Hivi unaweza kumuweka FidQ na izo? Ana lame flow halafu sometimes vina havimake sense. Sio siri, kama nyimbo ya Love Me mi naipenda kwaajili ya chorus tu.
'wivu wa kike",unamkubali nani sasa mwenye vina?,neema wa mitego au bonge la pusi??
hovyoooooo, +msonyo wa kizaramo!!!!!!!!!!!!!
dont beat around the bush hebu sema unalotaka kusema thats it!!!
huyu jamaa sijawahi muelewa kabisaa...hata nyimbo zake ninazo kwa bahati mbaya tu!!