tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
kuna mijitu ina hate... Utadhania ina mi*mb*a changa
i dont hate kaka natokea mbeya pia but nataka kuwa muwazi katika hili!!
Mimi simkubari kwasababu simkubari tu mengine namwachia....
Nilikuwa namkubari enzi zile za huu mziki...
Sina tatizo naye japo mimi si shabiki wake lakini kuna watu wanamkubari sana so inategemea na what taste of flavour do you want.[/QUOTE
bora wewe una sababu!humkubali sababu humkubali tu!
ulipenda namna yake ya zamani ya kufanya muziki........ila hii ya sasa (inaweza kuwa wrong labda kwa upande wako ila kwake ni Bizness)haikuvutii..better!
ila huyo chalii hapo juu hata yeye tu hajielewi!
eti ooh hip hop ngumu.......Hasheem dogo anaiuza wapi!??utakufa maskini wewe uking'ang'ania ushabiki wa kipuuzi!
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!
''unajua nini mwanangu?!siyo lazima kila mtu awe KRS 1 bongo,JAY Z atakuwa nani!...yaani babako kuna mashabiki flani nimeongeza baada ya chorus kumpa mtoto barnaba!"..................................hayo ni maneno ya IZZO BIZNESS akinichana kuhusu game lake!.....kwa taarifa yako muanzisha uzi,backstage wasanii wako wa zamani wanapata stress kwa mnyamwezi IZZO B!kimuonekano wa kinyamwezi,kipamba na mpaka michano sasa sijajua wewe ni wa team gani
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..
wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c
lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..
wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c
lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..
wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c
lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..
wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c
lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..