Waraka wa wazi na yakinifu kwa msanii izo bizness

Waraka wa wazi na yakinifu kwa msanii izo bizness

kuna mijitu ina hate... Utadhania ina mi*mb*a changa

hakuna hate wala nini maana hakuna maslahi yeyote ninayoingiliana na huyo dogo...tatizo wabongo hampendi kuusikia ukweli!!
 
i dont hate kaka natokea mbeya pia but nataka kuwa muwazi katika hili!!

kutokea mbeya kama yeye hakukuzuii ku hate!ungekua mkosoaji kweli wa muziki........''jeans pana na raba za kuazima'' zisingehusika!!una attack persona ya mtu bila hata kuwa muwazi kwa sababu yako ya msingi!mistari ya kuunga unga ya Izzo ni ipi?na labda ulitaka ifanane na ya nani ili iwe hip hop ya kweli!?........Talib Kweli anafanana na Lil Wizzy!??but still unaruka ngoma za Wizzy club!??
mwanaume hapendezi kuwa mnafiki na mzandiki!
 
Mimi simkubari kwasababu simkubari tu mengine namwachia....
Nilikuwa namkubari enzi zile za huu mziki...
Sina tatizo naye japo mimi si shabiki wake lakini kuna watu wanamkubari sana so inategemea na what taste of flavour do you want.[/QUOTE

bora wewe una sababu!humkubali sababu humkubali tu!
ulipenda namna yake ya zamani ya kufanya muziki........ila hii ya sasa (inaweza kuwa wrong labda kwa upande wako ila kwake ni Bizness)haikuvutii..better!
ila huyo chalii hapo juu hata yeye tu hajielewi!

eti ooh hip hop ngumu.......Hasheem dogo anaiuza wapi!??utakufa maskini wewe uking'ang'ania ushabiki wa kipuuzi!
 
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!

Punguza dharau , ungemkosoa na kumwelimisha iyo ishu ya jinsi sijui raba inatoka wapi , sijui mbeya ,,, daaaa ndo nyie mloingia hili jukwaa kwa bahati mbaya.
 
''unajua nini mwanangu?!siyo lazima kila mtu awe KRS 1 bongo,JAY Z atakuwa nani!...yaani babako kuna mashabiki flani nimeongeza baada ya chorus kumpa mtoto barnaba!"..................................hayo ni maneno ya IZZO BIZNESS akinichana kuhusu game lake!.....kwa taarifa yako muanzisha uzi,backstage wasanii wako wa zamani wanapata stress kwa mnyamwezi IZZO B!kimuonekano wa kinyamwezi,kipamba na mpaka michano sasa sijajua wewe ni wa team gani

Kwa pamba acha tuu...izzo kila kitu!go izzo..
 
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..

wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c

lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..
 
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..

wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c

lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..

Mkuu ni kama umeufunga huu mjadala. Yaan bhaaas, case closed and well said.
 
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..

wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c

lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..

Dah bro hapo juu kwene hiphop baada ya alama y mkato na kabla ya etc, weka BONTA broh, hafu ndio etc
 
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..

wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c

lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..

Done deal
 
Huyu jamaa ni home boy sio.. ila mziki aliofanya enzi zile na huu anaofanya sasa ni tofauti, ngoma kama tenzi za mapenzi na miss business alikaza na flow ilikua fresh ila sasa kwa ngoma kama baby Barnaba ndo kambeba ngoma kama ballplayer the late Ngwair ndio kambeba izzo. Shortly jamaa kama mistari yake imekua light mno ila sina tatizo nae.
 
habari wana jamvi ni matumaini yangu wote wazima na mnaendelea vizuri na mapumziko weekend hii,nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa tasnia ya muziki wa hip hop na bongo fleva kwa kipindi kirefu na mengi yametokea kama nyimbo nzuri,wasanii wakali na makundi makali ya muziki but wanajamvi kuna huyu msanii known as izo biznes but siku baada ya siku amekua ananichosha na uandishi wa mistari yake haina vina wala mizani zaidi ya kumuona na majinsi mapana ya kuazima na raba za kichina katika video zake kusema kweli wapenzi wa muziki tunataka mziki mzuri na sio mistari ya kuunga unga ya rapper huyu toka mbeya nawasilisha!!!!!!!!!!

Chuki mbayaaaa saaana...
Unaifahamu comesho style?
 
IZZO B sio mwanamuzk bali n mfanyabiashara aliyeforce kuhit kwa kutumia advantage yake ya kujuana na mchomvu..

wanamuziki wa HIPHOP bongo ni akina JAY MO,FID Q,ROHO 7,PROF.JAY,JOH MAKINI,e.t.c

lakini hawa wakina IZZO B,CHID BENZ,SUMA MNAZALETI,e.t.c n watu walozaliwa na bahati ya kutoka tu..

Ni Mahaba yako pia,hakuna wa kukuzuia..........Ila Izzo ni emcee mkali hapa Bongo
 
Back
Top Bottom