Truth guy.
JF-Expert Member
- Oct 30, 2013
- 396
- 196
Mume wako amekumbwa na kashfa ya kubaka,tukio hilo limetokea wakati wewe ikisemekana umemkimbia mumeo na kwenda kupanga hotelini,unakumbuka kiapo chako kanisani?
Uliapa mbele za MUNGU hutomuacha mumeo ktk shida yoyote hadi kifo kiwatenganishe,leo umeanza migogoro isiyo na kichwa wala miguu, mimi hunijui ila wewe nakujua A to Z, taarifa nzito za ndani kabisa nilizonazo kuhusu wewe ni kwamba umekuwa mara nyingi sana ukimnyima unyumba mumeo.
Na pia kuna jamaa mmoja mwenye uwezo flani kipesa amekuwa akikutaka kimapenzi, awali ulijitahidi sana kumkataa, sina taarifa sahihi iwapo uliamua kuasi ndoa yako na kutembea naye,na mumeo kuamua kujifariji kwa huyo binti anayejiita mlokole kumbe ni kahaba aliyekubuhu.
Sitaki kukutuhumu wewe wala mumeo, ila nina maswali kadhaa nataka nikuulize: Kwanini umekimbia nyumba yako? Je?! wajua kuwa mwanamke ndo kila kitu ktk familia? Hujui kuwa kukimbia kwako familia ni kumpa nafasi shetani abomoe ndoa yako? Hotelini unalala na nani? Babu yako Kulola alikufundisha hivyo? Wewe ni mcha MUNGU?
Uliapa mbele za MUNGU hutomuacha mumeo ktk shida yoyote hadi kifo kiwatenganishe,leo umeanza migogoro isiyo na kichwa wala miguu, mimi hunijui ila wewe nakujua A to Z, taarifa nzito za ndani kabisa nilizonazo kuhusu wewe ni kwamba umekuwa mara nyingi sana ukimnyima unyumba mumeo.
Na pia kuna jamaa mmoja mwenye uwezo flani kipesa amekuwa akikutaka kimapenzi, awali ulijitahidi sana kumkataa, sina taarifa sahihi iwapo uliamua kuasi ndoa yako na kutembea naye,na mumeo kuamua kujifariji kwa huyo binti anayejiita mlokole kumbe ni kahaba aliyekubuhu.
Sitaki kukutuhumu wewe wala mumeo, ila nina maswali kadhaa nataka nikuulize: Kwanini umekimbia nyumba yako? Je?! wajua kuwa mwanamke ndo kila kitu ktk familia? Hujui kuwa kukimbia kwako familia ni kumpa nafasi shetani abomoe ndoa yako? Hotelini unalala na nani? Babu yako Kulola alikufundisha hivyo? Wewe ni mcha MUNGU?