kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,475
Dada zako kuna jamaa ana wasomba kutoka bushi nipini kweli wako bar hapa Temeke. Huwa nawahi day one baada ya hapo nawachia wateja wengine maana beki hazikabi kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona mwandishi alijichanganya labdaKwa Wanyaturu na Wanyantunzu umechanganya mafile
Wanyantuzu ni wasukuma wanaopatijana eneo la Ntuzu hata hawapatikani na hawo Wanyaturu
Naona mwandishi alijichanganya labda
okay, ila mimi sifahamu kituHapana, mwandishi yuko sahihi
Kumbe uri wamito msinga.kama nawe ni Mrangi kama mimi...gonga like basi....vanduu vane[emoji8]
Umware wu mtavana!!Nimelike, munduu wane! Wee ni wa hài!?
Tumware.Najivunia kuwa mrangi; valangi mumwarii wooo tuvae mbuwaa
Najivunia kuwa mrangi; valangi mumwarii wooo tuvae mbuwaa
Mwandishi yuko sahihi, enzi hizo mchangamano ulikuwa mkubwa sana wa jamii za watu wa kaskazini na katikati ya eneo ambalo leo hii hujulikana kama taifa la TANZANIAKwa Wanyaturu na Wanyantunzu umechanganya mafile
Wanyantuzu ni wasukuma wanaopatijana eneo la Ntuzu hata hawapatikani na hawo Wanyaturu
Nilibahatika kupata mpenz wa kirangi kipindi hicho kilichopita. Kwa jinsi alivyokuwa mkarimu, mpole + mapenzi motomoto nilijikuta naanza mipango ya kumuowa kabisa. Kumbe kwao wakapata taarifa na kumuozesha kwa mtu mwingine, mdogo wake akaja kunipa story. Nilichukia sana, ila ikabidi niwe mpole tuu.
Ila ni warembo balaa