Warangi: Kabila lililojivunia mno asili yao

Kwa Warangi mimi ni hapo tuu kiukweli kwa urembo wanawake wao wamejaaliwa rangi ya ugonjwa wa Wasukuma, japo usafiri umegoma tatizo la wanawake wa Kirangi ni wema na ukarimu uliopitiliza haswa kufuatia kukosekana kwa baadhi ya misamiati kwenye wanawake wa kabila hili, ukiwemo msamiati wa neno "hapana"

Otherwise they are good at looking though
....
P
 
Wambulu na Wanyaturu na Warangi wanawake wao wanafana sio rangi tuu ya ugonjwa wa Wasukuma bali hata tabia, roho nzuri, kutokuwa wachoyo.
P
 
Aagh,😂😂😃😄, tutake radhi
Mkuu
FRANCIS DA DON, kwani ni uongo?, mimi huko ndiko niliko oa hivyo nawajua vizuri sana mashemeji zangu, naomba usiniulize kama na kwangu yalinikuta, ila ukifanywa utafiti wa ni watu gani wanaoongoza kuoa makabila hayo ukiondoa kuoana wenyewe kwa wenyewe ni sisi Wasukuma uzuri wetu hatuna wivu kivile na hiyo ndio salama ya Dada zenu Usukumani, tungekuwa kama jirani zetu Mara, Dada zenu wangechezea sana kipigo kwa wema, huruma na roho nzuri zao za kutokuwa wachoyo.
P
 
Mmmmmmhhh

Chief umebananisha maneno sana.......

Hhhhhhhhhh
 
 
Amasare asambukile😂 nimeishi miaka miwili Kondoa, ni warembo kweli ila duh! mtelezo so ke Wala mimi. Ila Wana umafia sanaa
 
Maneno yako yanashawishi sana mkuu,
 
Wa

Wambulu na Wanyaturu na Warangi wanawake wao wanafana sio rangi tuu ya ugonjwa wa Wasukuma bali hata tabia, roho nzuri, kutokuwa wachoyo.
P
Ila inakuwaje watu wao wa jinsia ya kiume wanakuwa wanakuwa makatili?

Nilipata kusoma nao baadhi, kama ujuavyo mambo ya u-boyzini kwenye msosi table zinahusika. Sasa ikitokea umemis kwenye table ukaenda kwenye table ya hao jamaa jua plate yako itawekwa kando ama la bhasi mtaambiwa kila mtu ashike plate yake mkononi na ujue kabisa hapo hupati msosi hata kama ni makande
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…