Kanyamulano
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 905
- 872
Kweli mkuu sio wachoyo. Tunawagegeda sana huku mtaani [emoji23] [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi ungependeza kama ungepambwa na picha za wadada wa kirangi.Wa
Wambulu na Wanyaturu na Warangi wanawake wao wanafana sio rangi tuu ya ugonjwa wa Wasukuma bali hata tabia, roho nzuri, kutokuwa wachoyo.
P
Kama ni warembo, karibu mitaa hii na Warangi pia wamo nimewawekaUzi ungependeza kama ungepambwa na picha za wadada wa kirangi.
Ni wivu tu wa Wachagga, si unajua ukizidiwa kitu unabaki kashfa..Kuna kale kamsemo ukikutana na mrangi pamoja na Nyoka ua mrangi mwache Nyoka aende zake kana maana gani kwa warangi mliopo humu naomba tafasiri yake, mwalee
Nadhani amtafute Simba Diamond Platnumz ili tuone namna anabyoweza kuipost labda instagram ili wengi zaidi waone na apate kuchangiwa
Nadhani watoto wa kambo wote hupitia magumu, jus saynHakika mungu hakupi vyote sura nzuri roho za kishetani
Mzee wangu kaowa kabila hilo nimajanga matupu Kwa Sisi watoto wa kambo
Anatengeneza utabaka Kati yasis nawanae ili tusielewane
Ndugu wa Mzee hawapendi hata kidogo
Yaani nishidaaaaa!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumba,, fallacy of generalization ...Kwa Warangi mimi ni hapo tuu kiukweli kwa urembo wanawake wao wamejaaliwa rangi ya ugonjwa wa Wasukuma, japo usafiri umegoma tatizo la wanawake wa Kirangi ni wema na ukarimu uliopitiliza haswa kufuatia kukosekana kwa baadhi ya misamiati kwenye wanawake wa kabila hili, ukiwemo msamiati wa neno "hapana"
Otherwise they are good at looking though
....
P
"Asili ya Kiarabu" ni ipi?Hawa wana asili ya kiarabu; ma babu zao waliloea afrika wameacha kizazi kipya - hybrid
Ila wadada nao wana huruma..... Ha ha ha (joke)
Tumware nduu yanekama nawe ni Mrangi kama mimi...gonga like basi....vanduu vane[emoji8]
Nimwere notera viiNajivunia kuwa mrangi; valangi mumwarii wooo tuvae mbuwaa
Labda sema wana mwingiliano na waarabu wala siyo asili ya kiarabu nimekaa sana na warangi na hadi sasaMoja kati ya Makabilaa Duni sana Tanzania.
WARANGI WANA ASILI YA KIARABU mwarabu alipita maeneo yote ya kondoa.
1. Hawapeleki watoto wao shule wanawapeleka chuo.
2.Wanaume wengi amejaa ushirikina, kucheza Drafti na kunywa kahawa,
3. wanawake wengi wa Kirangi ni Malaya Makahaba na Wauzaji wa baa.
USIOMBE KULA CHAKULA KWA MAMA NTILIE WA KILANGI UTAWEKEWA MADAWA YA KURUDI KILA SIKU.
pia ni wachafu sana kwa ndani.
4. JINSIA YA KIKE WANA ROHO MBAYA , CHUKI, KIBURI, MARINGO NA DHARAU, wengi wamekeketwa.
5 98!% WENGI NI ISLAMIC
Juba, hijab na Nikabu ndio kwao.