Warangi: Kabila lililojivunia mno asili yao

Hakika mungu hakupi vyote sura nzuri roho za kishetani
Mzee wangu kaowa kabila hilo nimajanga matupu Kwa Sisi watoto wa kambo
Anatengeneza utabaka Kati yasis nawanae ili tusielewane
Ndugu wa Mzee hawapendi hata kidogo

Yaani nishidaaaaa!!!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kale kamsemo ukikutana na mrangi pamoja na Nyoka ua mrangi mwache Nyoka aende zake kana maana gani kwa warangi mliopo humu naomba tafasiri yake, mwalee
Ni wivu tu wa Wachagga, si unajua ukizidiwa kitu unabaki kashfa..
 
Nadhani watoto wa kambo wote hupitia magumu, jus sayn
 
Pumba,, fallacy of generalization ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hongera zao kwa urembo

Ila roho zao sasa, ukiishi jirani na mrangi lazima mgombane

Wagogo wanautani wao wanasemaga ukienda porini ukakutana na mrangi plus nyoka , mwachie nyoka muuwe mrangi
Means kwamba bora nyoka kuliko hao watu
Sijui waliwafanyia nini hadi kufikia hapo


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moja kati ya Makabilaa Duni sana Tanzania.

WARANGI WANA ASILI YA KIARABU mwarabu alipita maeneo yote ya kondoa.

1. Hawapeleki watoto wao shule wanawapeleka chuo.

2.Wanaume wengi amejaa ushirikina, kucheza Drafti na kunywa kahawa,

3. wanawake wengi wa Kirangi ni Malaya Makahaba na Wauzaji wa baa.
USIOMBE KULA CHAKULA KWA MAMA NTILIE WA KILANGI UTAWEKEWA MADAWA YA KURUDI KILA SIKU.
pia ni wachafu sana kwa ndani.

4. JINSIA YA KIKE WANA ROHO MBAYA , CHUKI, KIBURI, MARINGO NA DHARAU, wengi wamekeketwa.

5 98!% WENGI NI ISLAMIC
Juba, hijab na Nikabu ndio kwao.
 
Mnaofanya utafiti bar na kukashifu makabila ya watu.. hamko sahihi wala hakuna supporting evidence ya uhuni kama ni umalaya kwani isiwe Njombe iringa na Mbeya kwenye ukimwi basi??
 
Labda sema wana mwingiliano na waarabu wala siyo asili ya kiarabu nimekaa sana na warangi na hadi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…