Du mm nikiangalia wanawake warembo anachukia, nikiangalia wanawake - ugly atashangilia, wanawake ni mama zetu, wanavituko wanapokuwa wamepishana hasa akijua mumewe anapenda mabaibui, au zegembe linalotingishika,au mguu wa bia.
Naomba dada uvumilie wanawake ndio waliowashawishi kina Adam na Lutu kugeuka jiwe la chumvi au kutembea na mabinti zake wote watatu