Warembo wa Bukoba

Warembo wa Bukoba

We morogoro kuna nini?
Bora ya washamba kuliko vitu vifupi,vishirikina,visivyo na elimu vya morogoro. Kwanza ni wachafu na wanawake wengi huzaliwa kwao!!!!!


Usiridie tena kuvamia nyuzi za watu
Unataka wazaliwe wapi?
 
Hawa wa Buguruni wanaouza papuchi pia wanamijengo huko home?
Hawaruhusu kuvua viatu ,maana hulali pale,je na huko pia?
 
mkuu ishu ya haya maji ikoje? nilimpata mmoja akadai anayo ila hayatoki tu yenyewe ni hadi akitaka mwenyewe.

kuskia hivo niliomba niende pembeni kidogo kuongea na simu nikala kona ukouko. mambo gani tuanze kuloweshana.
Mji umesimama hakuna jipya miaka nenda rudi,nimeishi bukoba naijua kona zote,kuna beach moja inaitwa Bunena Beach inamilikiwa na Kanisa katoliki nzuri ajabu,wanawake wakijua wew mgeni wanakufundisha kuwamwaga maji bila tatizo
 
Back
Top Bottom