Mundele Makusu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 2,488
- 3,481
uzuri ww unaupima kwa vigezo vipi?Natamani sana kufika Bukoba niifahamu kiundani. Kuhusu Mabinti zao naona wengi ni Weusi wazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzuri ww unaupima kwa vigezo vipi?Natamani sana kufika Bukoba niifahamu kiundani. Kuhusu Mabinti zao naona wengi ni Weusi wazuri
Napima kwa vigezo vya sura, rangi ya ngozi na maumbouzuri ww unaupima kwa vigezo vipi?
Kwanini Chief?Mimi ni mhaya pure, lakini siwezi kuoa binti wa kabila langu hata tubaki wawili duniani.
Licha ya uzuri wao nasikia pia wamebarikiwa roho nzuri ya kutoa walichonacho kwa wenye uhitaji Yaani kifupi sio wachoyo kabisa!Bukoba kuna warembo wazuri sana wenye misambwanda miguu ya bia na figa namba 8.
Wamegawanyika Watusi kwa hapa wanaitwa wanyarwanda pia wapo walio mix Wahaya na Watusi nakutoa watoto wakali.
Pia wapo Wanyakore ambao ni wazuri sana wengi wao ni weusi kwa mbali ni maji ya kunde.
Wahaya pia ni wazuri sana..Bukoba unakuta binti ni beki tatu lakini ni mzuri sana unakuta wengi wanao kuja huku upenda kufukuzia beki tatu kuepuka gharama.
Warembo wa hapa wengi wanapenda kuishi maisha ya kujitegemea hii inatokana wengi wameenda shule asa hawa ambao ni wahaya asilimia mia.
Wengi wanapenda kuolewa na wahaya wenzao hawapendi shida. Wana akili za maisha ni watafutaji wazuri wa hela ukifika Bukoba utakuta biashara kubwa wanamiliki wao.
Wanapenda kuzungumza kihaya hata hawe amesoma vipi au hawe mrembo kiasi gani hii inatokana na wahaya kukipenda kihaya sana.
Wengi wanapenda sana Kampala na shopping nyingi wanapenda kufanyia huko..Kama una swali uliza
SIna sababu ya moja kwa moja ila ninayoyaona kwa dada zangu wakihaya naona kama mimi sio mwanaume wa type zao.Kwanini Chief?
Aisee Mr morogoroKatika maisha yangu yote ya kuishi miji mbalimbali...sijawahi ona mji wa watu washamba kama bukoba
Napima kwa upambanaji,maono na ushirikianoNapima kwa vigezo vya sura, rangi ya ngozi na maumbo
Wewe unapima uzuri kwa vigezo vipi?
Napima kwa upambanaji,maono na ushirikiano
🤣Tufanye umeshinda,Ila uzuri haumpangii mtu azingatie idara gani?Hapo unapima uwajibikaji sio uzuri
Huyo wa picha ya tatu amesimama kinomaBukoba kuna warembo wazuri sana wenye misambwanda miguu ya bia na figa namba 8.
Wamegawanyika Watusi kwa hapa wanaitwa wanyarwanda pia wapo walio mix Wahaya na Watusi nakutoa watoto wakali.
Pia wapo Wanyakore ambao ni wazuri sana wengi wao ni weusi kwa mbali ni maji ya kunde.
Wahaya pia ni wazuri sana..Bukoba unakuta binti ni beki tatu lakini ni mzuri sana unakuta wengi wanao kuja huku upenda kufukuzia beki tatu kuepuka gharama.
Warembo wa hapa wengi wanapenda kuishi maisha ya kujitegemea hii inatokana wengi wameenda shule asa hawa ambao ni wahaya asilimia mia.
Wengi wanapenda kuolewa na wahaya wenzao hawapendi shida. Wana akili za maisha ni watafutaji wazuri wa hela ukifika Bukoba utakuta biashara kubwa wanamiliki wao.
Wanapenda kuzungumza kihaya hata hawe amesoma vipi au hawe mrembo kiasi gani hii inatokana na wahaya kukipenda kihaya sana.
Wengi wanapenda sana Kampala na shopping nyingi wanapenda kufanyia huko..Kama una swali uliza