Warembo wa JF, ulivutiwa na mchezaji gani kwenye kombe la dunia 2018?

Warembo wa JF, ulivutiwa na mchezaji gani kwenye kombe la dunia 2018?

Mitandaoni huko Kila mwanadada anampenda mbappe!

Angekuwa bongo mngekuwa msha mpwelepweta mtoto wa watu
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Wanawake wa kibongo hatari sana.....wangesha mzeesha mtoto wa watu
 
hahaha ngoja niishie hapa kama Genta, maana mdomo wangu umebaki wazi kama Ushimen. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
.
IMG-20180719-WA0012.jpg
 
Back
Top Bottom