Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,394
- 59,069
Kama kupendwa kwenyewe ndiyo ivyo..sitakii..utaharibu hali ya hewa..jikazee tuUtaamini bebe Maana kukupenda wewe NI Kama kuhara siezi zuia ♥😍
Mda wowote kitu chini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kupendwa kwenyewe ndiyo ivyo..sitakii..utaharibu hali ya hewa..jikazee tuUtaamini bebe Maana kukupenda wewe NI Kama kuhara siezi zuia ♥😍
Mda wowote kitu chini
Niazime busu lako Aki nitarudisha ...maana hapa nimeishiwaKama kupendwa kwenyewe ndiyo ivyo..sitakii..utaharibu hali ya hewa..jikazee tu
Mimi na kitambi?? Sio kweliUna kitambi hautawezana
Siazimishi..ila nitakukopesha kwa riba.Niazime busu lako Aki nitarudisha ...maana hapa nimeishiwa
Vigezo na mashati kuzingatiwaSiazimishi..ila nitakukopesha kwa riba.
Nikiipenda mimi inatosha, au unatakaje?😀Mbona mimi sipati wa kuniambia wamependa michango yangu?
Maji ya bahari yananihusu .
Ngoja niscreen shoot mapiem yangu wayaone nkikupogezaSipati PM za pongezi kabisa.
Wivu huo😜😜Sis 😆😆🏃🏃
Muwe mnakuja na PM kwangu jamani na mimi nijione ninaishi.We mko serious sana, ( natania)
Nimefurahi sana. Hiyo ndio PM ya kwanza napata tangu huu mwaka uanze.Nshakuchokoa huko piemu furahia 😂😂😂
Sijawahi kufunga PM tangu nimejiunga humu.Tatizo umefunga PM.
Nifunge PM kwa usumbufu gani ninaoupata? Yani MTU sipati hata PM nafunga PM ya nini sasa.Hahahaha, sasa analalamika kumbe kafunga PM
Inabidi nifanye hivo ili kuondoa hii gundu.Jifukize tu kutwa mara tatu kwa kutumia majani ya maboga baada ya wiki utaona tofauti kubwa 😜😜😜
Ipo ya kutosha.Chura ipo au unataka pongeze za bure?
Wewe tuu? Mimi nataka wengi.Nikiipenda mimi inatosha, au unatakaje?😀
Hauwezi kusrinishoti maana hazipo.Ngoja niscreen shoot mapiem yangu wayaone nkikupogeza
Nimefura hapa balaa. Umechelewa sana kujibu reply yangu. Au ndio ulikuwa busy huko PM?Wewe tuu? Mimi nataka wengi.
Wawe wananisumbua sumbua Hannah napenda michango yako. Ili na wewe uone wivu unipende.
Mb nilikuwa sina. Umasikini huu acha tuNimefura hapa balaa. Umechelewa sana kujibu reply yangu. Au ndio ulikuwa busy huko PM?
(Wivu sina ila roho inauma)