Warembo wa JF

Warembo wa JF

Jifukize tu kutwa mara tatu kwa kutumia majani ya maboga baada ya wiki utaona tofauti kubwa 😜😜😜
Inabidi nifanye hivo ili kuondoa hii gundu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Wewe tuu? Mimi nataka wengi.
Wawe wananisumbua sumbua Hannah napenda michango yako. Ili na wewe uone wivu unipende.
Nimefura hapa balaa. Umechelewa sana kujibu reply yangu. Au ndio ulikuwa busy huko PM?
(Wivu sina ila roho inauma)
 
Back
Top Bottom