Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Najua washajaa sasa huko tangu Jana!Sijawahi kufunga PM tangu nimejiunga humu.
Niringe. Mmoja tuu.Najua washajaa sasa huko tangu Jana!
Haha basi ntajaribu bahati mida.Niringe. Mmoja tuu.
Hata ww boss lady?πMb nilikuwa sina. Umasikini huu acha tu
Nifunge PM kwa usumbufu gani ninaoupata? Yani MTU sipati hata PM nafunga PM ya nini sasa.
Nikiipenda mimi inatosha, au unatakaje?[emoji3]
πPretty umepita na huku.sawa
niko single ko napita kila sehemuπPretty umepita na huku.
πππππππππππndo nini kunitangaza
Usifike huko, embu ngoja tutete.niko single ko napita kila sehemu
sitakiUsifike huko, embu ngoja tutete.
Hahahaha ,haya vijana mmekaribishwaNifunge PM kwa usumbufu gani ninaoupata? Yani MTU sipati hata PM nafunga PM ya nini sasa.
Hahahaha, INA maana hawaji? Usihofu wamekusoma watakuja sasa uwapokeeMuwe mnakuja na PM kwangu jamani na mimi nijione ninaishi.
Usijali utapata PM soon nishawatuma vijana wangu waanze kazi Mara mojaSipati PM za pongezi kabisa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Siyo vizuri kuchekesha watu namna hii!Nifunge PM kwa usumbufu gani ninaoupata? Yani MTU sipati hata PM nafunga PM ya nini sasa.
Bosslady kwiooπHata ww boss lady?π
Unaijua freebasics?
Hua inaniokoa mara moja moja. Pia naitumia kusave data muda mwingine.
Hawaii kabisa. Pamoja na bango lote hili.Hahahaha, INA maana hawaji? Usihofu wamekusoma watakuja sasa uwapokee
Nasubiri kwa hamuππUsijali utapata PM soon nishawatuma vijana wangu waanze kazi Mara moja