Warembo wa JF

We nae mpangilio wa aya majanga:
Nimeona kuna sehemu

umechangia binafsi

nimetokea kukuelewa,upo

vizuri.
Sentensi kama'mama alienda sokoni kununua ndizi unaiandika,
Mama
alienda sokoni
kununua
ndizi.
Ila hongera kwa mtongozo.
Mtaalamu wa kuandika mashairi, hivyo usimshangae kwa mpangilio huo!!
 
Hongera kwa mtongozo lol. Na mfanikiwe azimio lenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…