Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Kwann ? Au utatafuna kituWouzeeeeeeerrrrrrrr. Hiyo siku nanoa meno .
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann ? Au utatafuna kituWouzeeeeeeerrrrrrrr. Hiyo siku nanoa meno .
Hajaja amesema hadi tr 8
Wouzeeeeeeerrrrrrrr. Hiyo siku nanoa meno .
😂😂😂😂😂
Nitajibu, hata nikiwa usingiziniYaani hapa najaribu kufanya edits za maneno ya kutumia siku nikija PM ili walau nijibiwe.
Hahahaha, we Mzee banaYaani hapa najaribu kufanya edits za maneno ya kutumia siku nikija PM ili walau nijibiwe.
Ndio ameacha kwanza wewe mkubwa mwenzake uanze.
Nitajibu, hata nikiwa usingizini
Ewaa ,hapo sawa nakianza tunafunga asije mtuNdio ameacha kwanza wewe mkubwa mwenzake uanze.
Hahahaha, unaenda kutazama mpira?Sawa sawa, naomba niwaache na mtu chake, naona ameshaanza kunifukuza kiujanja ujanja.
Hahahaha, Mzee mwenzangu umeshtukia mbinu za Mzee mwenzioMzee mwenzangu nimecheka sana, yaani unaniaga ili niondoe kiwingu au siyo?
[emoji122]niko single ko napita kila sehemu
Mtaalamu wa kuandika mashairi, hivyo usimshangae kwa mpangilio huo!!We nae mpangilio wa aya majanga:
Nimeona kuna sehemu
umechangia binafsi
nimetokea kukuelewa,upo
vizuri.
Sentensi kama'mama alienda sokoni kununua ndizi unaiandika,
Mama
alienda sokoni
kununua
ndizi.
Ila hongera kwa mtongozo.
BestyyyyyMbona mimi sipati wa kuniambia wamependa michango yangu?
Maji ya bahari yananihusu .