Warembo wa JF...

Mimi nimejifunza wanawake wengi wenye muonekano wa kawaida ndio wapo vizuri upstairs maana kipindi wanasoma hawakusumbuliwa sana na mabazazi
Hawa wenye sura nzuri na umbo baadhi yao kwanza wanetoa sana rushwa za ngono na hawakusoma vizuri sababu ya usumbufu wa wanaume
 
Jifunze mkuu, issues za private zinaishia huko huko. Narudia tena, mambo yenu wawili mnamaliza huko huko, sisi wala hatutaki kujua lini ulikutana na nani, wapi na ikawaje. Kila mtu angesema hizo mambo humu isingekuwa sehemu salama kabisa.
 
Ukiwa na mafuta kwenye ngozi ukipaka tena mafuta mazito vile vitundu vinaziba ndio vinatengeneza CHUNUSI. Ndio maana nimesema chunusi sio ugonjwa ni watu tu tunaziba vile vitundu vya ngozi kupumua.

Nadhani kila mtu Ana aina ya ngozi na utunzaji wake
 
Below kawaida afu mleta mada awe anamiliki smartphone, laptop na past papers. God have mercy on us.
Past papers za Histo, Kiswa na Eng [emoji23][emoji23][emoji23]


Kwa lugha nyingine Mwanaume ili awe Mwanaume hata aweze kukosoa ni lazima awe na MAISHA


Heheheheh Haloooooooooooo


hamna hata akiwa na MAISHA hatakiwi kukosoa... Maana suala la Uzur na urembo huwa ni la mtazamaji.


Akiona Chann....Mwengine anasema atakipata Lin
 
What happenes in Vegas stays in vegas
Acha ushamba.
 
Karucee[emoji4].. Hiyo ni mada ya siku nyingine.. Leo inawahusu nyie. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..
Dah inasikitisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…