NimekuelewaNi ajabu eeh?
Unakuta mtu anaomba mchezo kabla ya kuonana au anaanza na kuhudumia kabisa...Nimekuelewa
Stimu sina ila unazingua tuNinakukata stimu ?
🤣🤣 Yupi?Unaweza ambiwa jina na wewe hamuendani, toa hiyo Gent weka mchimba chumvi.
Ila inshu za kufunguliana thredi siyo kabisa, Yaani unapanga kabisa kesho nafungua thredi special kwa... dah!
Halafu huyu bibie akikataa tusionane, mtoa mada utakuwa umechangia 99%
Ohoo! Natania tu🤗🤣🤣 Yupi?
Nipo morogoro road najaStimu sina ila unazingua tu
Wapi?Nipo morogoro road naja
To youuWapi?
🤣Ndo wapi?To youu
There where you are Jf sweetheart[emoji1787]Ndo wapi?
🤣🤣🤣🤣There where you are Jf sweetheart
Kama tulivyo kutana nikakuheshimu siyo..?Mmmh bado mtoto wewe ukikua utaheshimu watu, siyo vizuri
Hakika uko vizuri😂Kama tulivyo kutana nikakuheshimu siyo..?