cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Utajiju..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahahah!! Usiogope.. Sitokusema tena.. Kuwa na amani..Sijapenda ulivyokuja kunisema humu 😬😬😬
Ahsante Soldier! Umetufariji wengine hukuMbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.
Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
Karucee😊.. Hiyo ni mada ya siku nyingine.. Leo inawahusu nyie. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.
Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.
So there you are Mkuu K.Y.
Siku nikikuona nitakupenda kwa hiyo hiyo physical appearance yako bila kujali rangi wala shape. Kitu sipendi kwa mwanamke ni makelele na maneno ya kejeli baaasAsante Baba
Kitu sipendi kwa mwanamke ni matusi, kelele na maneno ya kejeli baaas. Mimi sio mtu wa kujionesha maisha yangu Facebook wala instagram eti leo nina mwanamke huyu, kesho nimekula chips au juice ya passion basi niweke Facebook.Ahsante Soldier! Umetufariji wengine huku
You are just a little boy who is bothered by pimples on a lady's face.Karucee😊.. Hiyo ni mada ya siku nyingine.. Leo inawahusu nyie. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..
[emoji23][emoji23][emoji23] Adios El hermanoSalaam!!
Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum..
Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri?
Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita..
Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia.. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana..
Ni vema tuwe real tu kwakweli.
BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.
Anyone to prove me wrong?
Sidhani kama huu uzi unahitaji povu
Adios!!
Kweli kabisaIla mkuu unawakosea sana hao waliokuheshimu hadi mkaonana si vizuri kusema mtu na huenda na wewe mwenyewe wala hawakupendezwa na wewe basi tu. Kwani ukakusha unapungukiwa damu? Uliofanya huo ni umama[emoji57][emoji57]
Mmmh bado mtoto wewe ukikua utaheshimu watu, siyo vizuriKarucee😊.. Hiyo ni mada ya siku nyingine.. Leo inawahusu nyie. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..
Upo sahihi kabisa kwa hoja zako..Ila mkuu unawakosea sana hao waliokuheshimu hadi mkaonana si vizuri kusema mtu na huenda na wewe mwenyewe wala hawakupendezwa na wewe basi tu. Kwani ukakusha unapungukiwa damu? Uliofanya huo ni umama😏😏
Safi sana na ndiyo inavotakiwa mkuuKitu sipendi kwa mwanamke ni matusi, kelele na maneno ya kejeli baaas. Mimi sio mtu wa kujionesha maisha yangu Facebook wala instagram eti leo nina mwanamke huyu, kesho nimekula chips au juice ya passion basi niweke Facebook.
I have no time those nonsense.
Sasa sindo hivyo Mkuu, uzuri upo kwenye jicho la muonaji! Na ndivyo hivyo, kwake ni zaidi ya alivyotegemea. Yaani kwa viwango vyake ni zaidi yaa!!😂😂😂😂Mbaya kwako ila mzuri kwa mwingine. Kumbuka sio kila mwanaume anapenda mwanamke kama Hamisa Mobeto kwa ajili ya show off za mtaani, wengine kama mimi tunapenda maneno mzuri kutoka katika kinywa cha mwana-mama baaas hata kama sio mrembo kabisa.
Kuna mwanaume anapenda maonyesho kwamba ana demu mkali ila wengine tunapenda utulivu wa nafsi basi na sio kujionesha facebook na Instagram.
I am more than a mature man.. Nawaheshimu sana wanawake.. Sana kupita maelezo.. Lkn hainizuii kuzungumza!!Mmmh bado mtoto wewe ukikua utaheshimu watu, siyo vizuri