Warembo wa JF...

Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.

Huyu mnyama nimejua kupitia sredi ingine na nikasema leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.

So there you are Mkuu K.Y.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi mchokozi
 
Namuombea msamaha mleta uzi. Alikamuliwa vya kutosha na huyo dada, yaani katuma nauli ya Uber, kanunue Hennessey, mikuku n.k halafu dada kufika kumbe ni wa kawaida hata bibi Kiroboto mzuri kkkkkkkkk
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ameeeeeen, na ubarikiwe sana, maneno ya busara haya.
 
Karucee[emoji4].. Hiyo ni mada ya siku nyingine.. Leo inawahusu nyie. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..

Ulitakiwa umsaidie huwezi jua kahangaika na dawa hazimsaidii
Ukiona mtu usijaji moja kwa moja haraka jua tatizo kama waweza saidia saidia huwezi basi unakubali mtu alivyo
Kaka unadhan humu wanawake wote wapo kama malaika soft kwa ngozi,pesa ?
 
Na wasiwasi utakuwa wewe. Usijipoteze, ngoja mleta uzi amalizie K Vant yake aje akuumbue.
Hanijui hata ukucha wala kidole, amalize hiyo K vant yake, aje awasasambue alio meet nao. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unatumia sanitary pads zipi ?
 
Ulitakiwa umsaidie huwezi jua kahangaika na dawa hazimsaidii
Ukiona mtu usijaji moja kwa moja haraka jua tatizo kama waweza saidia saidia huwezi basi unakubali mtu alivyo
Kaka unadhan humu wanawake wote wapo kama malaika soft kwa ngozi,pesa ?
hajui balaa la chunusi huyu. Kuna watu wanahaha nazo
 
Balaàaaaaa. [emoji1787][emoji1787]

Nikiwa mdogo tulikuwa tukimuona karunguyeyw tunamchukua tunamzunguka na tunaanza kumpigia ngoma
Basi anaanza kudunda dunda anacheza
Tulikuwa tunafurahi sana
 
Nikiwa mdogo tulikuwa tukimuona karunguyeyw tunamchukua tunamzunguka na tunaanza kumpigia ngoma
Basi anaanza kudunda dunda anacheza
Tulikuwa tunafurahi sana
Serious? Utoto raha sanaaa.

Hivi ndie anaitwa simbilisi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…