Warembo wa JF...

Warembo wa JF...

Salaam,

Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum.

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri? Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita.

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana.

Ni vema tuwe real tu kwakweli. BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!
Kwanin utumie id nyingine kusema mapungufu ya wengine
Maana yake hujiamin na wew una mapungufu
Ungetumia id yako halisi wapate kukuchambua punguza umbea
 
Jifunze mkuu, issues za private zinaishia huko huko. Narudia tena, mambo yenu wawili mnamaliza huko huko, sisi wala hatutaki kujua lini ulikutana na nani, wapi na ikawaje. Kila mtu angesema hizo mambo humu isingekuwa sehemu salama kabisa.
Asante sana mkuu, wengine watoto hapa, hawajakuwa bado
 
. Ebu niulize swali dogo, mrembo wa jf unashindwaje kutibu maupele ya sehemu za wazi? Basi si ajitande na baibui? Am sorry lkn..
Angalau Ungempaushauri basi namna yakutibu huo upele ungeonekana wa maana kumsema umeona ndio njia sahihi huna sifa za kuitwa mwanaume
Aliyekwambia uache umama hajakosea
 
Afu ukute na kenyewe kapo kama karunguyeye.

Huyu mnyama nimemjua leo kupitia sredi ingine na nikasema leo leo akikatiza mtu na sredi ya kiboya namuita karunguyeye.

So there you are Mkuu K.Y.
Duh! Hivi ushawahi kumuona huyo karunguyeye anonekanaje [emoji23][emoji23]
 
Salaam,

Natumia hii account kwa mara ya tatu leo kwasababu maalum.

Mada yangu leo inawahusu warembo wa JF, jamani huu ukurasa hauna warembo wazuri? Nimebahatika kufahamiana na kukutana na watatu ndani ya miezi kama 18 iliyopita.

Kiukweli tuliishia tu kupiga story mbili tatu, hata urafiki wetu ukaishia. Maandishi yetu na anonymity plus qualities tunazopresent kwa story zetu ni tofauti kabisa na tunavyoonekana.

Ni vema tuwe real tu kwakweli. BTW, naongelea ukawaida wa mwanadada, siyo urembo.. Niliobahatika kukutana nao ni below par kwa ukawaida.

Anyone to prove me wrong?

Sidhani kama huu uzi unahitaji povu

Adios!!
Hujakutana na mjukuu wangu Joanah we mzembe...
 
Umeyataka mwenyewee si tulishakubaliana humu tumejaa vibibi vya mwendokasi na sura za babu.
 
Back
Top Bottom