Aisee! We Ni Wa Wap Mkuu
KANDA MAALUM!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee! We Ni Wa Wap Mkuu
Safiii Tumpe Mwakareliwoyooo, bila shaka umepata mtoto mkali wa Mbeya ,safii karibu sana shemeji
mi naitwa Atupele Mwakamerchante tehtehhSafiii Tumpe Mwakareli
Mkuu bila shaka utakua umejipatia mtoto mzuri Atupele Mwakampya.Nawapa saloote warembo wa mbeya .
Kama upo hapa naomba like
Ha ha ha! Mi nikadhani unaitwa Kafainensho Mwakaservice.mi naitwa Atupele Mwakamerchante tehtehh
hiyo Atupele Mwakamerchante ni my real name but my jf's name ndyo hiyo Mwakservices hahahaaaHa ha ha! Mi nikadhani unaitwa Kafainensho Mwakaservice.
Bila shaka wewe ndo yule Atu wa Tukuyu, Kiwila.Teh!hiyo Atupele Mwakamerchante ni my real name but my jf's name ndyo hiyo Mwakservices hahahaaa
Kwasababu haya majina ya kina Mwakamerchante yapo sana huko.[emoji1] [emoji1]Bila shaka wewe ndo yule Atu wa Tukuyu, Kiwila.Teh!
umejuaje aisee,ni hukohuko mkuu huhuuBila shaka wewe ndo yule Atu wa Tukuyu, Kiwila.Teh!
hahaaaa, kweli kabisaKwasababu haya majina ya kina Mwakamerchante yapo sana huko.[emoji1] [emoji1]
Mkuu lazma nikujue,ntashindwaje kukujua wajina wangu.umejuaje aisee,ni hukohuko mkuu huhuu
Mkuu hiv ushabahatika kufika South Africa "SA",Kutukuyu kusouth"..?Hali ya hewa ile niliipenda.hahaaaa, kweli kabisa
yes huko ndyo kwenyewe sasa,kibaridi flani hivi amaizing,ila msimu wa mvua duuhhilo baridi si mchezo,karibu tena mkuu ule avocadosMkuu hiv ushabahatika kufika South Africa "SA",Kutukuyu kusouth"..?Hali ya hewa ile niliipenda.
Yeah hali ya hewa flan ya kaubariiidii,hivi punde nitarejea huko kula hizo Avocados, Atupele Mwakamerchante[emoji1] [emoji1]yes huko ndyo kwenyewe sasa,kibaridi flani hivi amaizing,ila msimu wa mvua duuhhilo baridi si mchezo,karibu tena mkuu ule avocados
yaani huku hewa safii, oxgen unajichagulia uvute ipi uache ipi, tofauti na sehemu zingine mnang'ang"aniana mpaka hewa hahaaa, karibu sanaaYeah hali ya hewa flan ya kaubariiidii,hivi punde nitarejea huko kula hizo Avocados, Atupele Mwakamerchante[emoji1] [emoji1]
Ha ha ha! Uko sahihi mkuu haya mambo ya kung'ang'aniana hewa,afu hewa yenyewe ni Carbon monoxide na Methane sio poa. Acha nirejee huko nipate hewa safi juu ya mlima Rungwe pembeni mtoto mkali Tumpe Mwakaforum.yaani huku hewa safii, oxgen unajichagulia uvute ipi uache ipi, tofauti na sehemu zingine mnang'ang"aniana mpaka hewa hahaaa, karibu sanaa
Ha ha haa!! Dogo umeanza fujo zako.Nipo Mbeya hapa, umewambie wa like sasa Nitakua naangalia walio like hapo kwako nawaendea PM, siwezi kukaa kinyonge namna hii
Hahaaa, umenichekesha aisee, ila huyo Tumpe mwakaforum tena, ndye wifi yangu amaHa ha ha! Uko sahihi mkuu haya mambo ya kung'ang'aniana hewa,afu hewa yenyewe ni Carbon monoxide na Methane sio poa. Acha nirejee huko nipate hewa safi juu ya mlima Rungwe pembeni mtoto mkali Tumpe Mwakaforum.