Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
HUU UZI UMENIFANYA NIMKUMBUKE NDUGU YANGU TUTUNFYE MWAKATIGO WA PALE NDANDALO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unataka wanaume wangapi?Nitumie kwanza hela ya wine ninywe nipunguze hili baridi kisha nitakujibu
Nilifikiri maneno Mrembo na Mbeya hayawezi kukaa kwenye sentensi moja!Nawapa saloote warembo wa mbeya .
Kama upo hapa naomba like
😂😂😂😂mmoja mwaminifu!Wewe unataka wanaume wangapi?
Here I am.😂😂😂😂mmoja mwaminifu!
[emoji120][emoji120][emoji120] Ngoja nitulie sasaHere I am.
Duuh! Kumbe mdogo wangu na wewe ni wale kina Tununu? Hahahaaaa.woyooo, bila shaka umepata mtoto mkali wa Mbeya ,safii karibu sana shemeji
[emoji3] [emoji3] [emoji3] ndyo Dada, wale akina ndaga fijoo, wewe je?. Miss u lknDuuh! Kumbe mdogo wangu na wewe ni wale kina Tununu? Hahahaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hili jamaa jinga ee.Tobaa, hao hatunao Mbeya aisee[emoji3] [emoji3]
haaaa, hao watu sijui alikutana nao wapi yeye[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe hili jamaa jinga ee.
Mbeya hakuna watu kama hawa bwana
Ugonile.....twambombo? Bakafu bhanaa?[emoji3] [emoji3] [emoji3] ndyo Dada, wale akina ndaga fijoo, wewe je?. Miss u lkn
[emoji3] [emoji3] ,umejitahidi au ni wa huko pia mkuu?Ugonile.....twambombo? Bakafu bhanaa?
Hahahaaaa nimejitahidi tu mkuu[emoji3] [emoji3] ,umejitahidi au ni wa huko pia mkuu?