ROGERSHINE
Senior Member
- Aug 15, 2012
- 129
- 82
- Thread starter
- #21
mzee lakini kuwa makini na boom lako wasije kuacha mjini
acha tu wa chop my moneyyyyyyyy,chop my moneyyyyyyyyyyyyyyy,coz am not careeeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee lakini kuwa makini na boom lako wasije kuacha mjini
Kaka mbona Msimamo unakua impaired simple namna hii?
We assume ni Wabaya na wana Ngoma utadumu kwenye msimamo
daaaah,assuming nyingine utata we,they are so cuteeeeeeeeeeeeeeeeKaka mbona Msimamo unakua impaired simple namna hii?
We assume ni Wabaya na wana Ngoma utadumu kwenye msimamo
Hapo SUA wa SALMA wamemwagwa kibao tu. Xoo jiangalie kaka na kushobokea mbili kifuani.
Hapo SUA wa SALMA wamemwagwa kibao tu. Xoo jiangalie kaka na kushobokea mbili kifuani.
am not sure,do u have evidence yyteHapo SUA wa SALMA wamemwagwa kibao tu. Xoo jiangalie kaka na kushobokea mbili kifuani.
teh teh teh,wanatutega mbayaaaaaaNasikia siku hizi kuna Degree ya tourism hapo,kwa mbaali napata picha ya hao wanafunzi wa kozi hiyo wanavyovaa! Kazi mnayo vijana! Enzi zetu tulikuwa wakulima watupu,muda wa kujipodoa dada zetu watautolea wapi na supp zinakusubiri mult-purpose hall main campus!
Huogopi kuchunwa?
ahsante wa mjiniupumbavu mwingine, ndio madhara ya kukaa kijijini muda mrefu, unalimbukia mademu wa kawaida tu!
Kaka mbona Msimamo unakua impaired simple namna hii?
We assume ni Wabaya na wana Ngoma utadumu kwenye msimamo
dogo inawezekana wewe umetokea bushi. Tangu lini sua ikawa na warembo? Ukipelekwa ifm au hata udsm si utakuwa mwehu.