Warembo wote wa MMU njooni hapa

Warembo wote wa MMU njooni hapa

misambwanda sio lazima, ukiwa mrembo inatosha.

kuhusu " wahi offer" mtanisamehe maana nilidhani mpo wengi. na mie nataka mmoja tu. nimefikiria neno zuri la kuweka nimekosa..
mm sihitaji subiri wanakuja. Hujaona aliyesema hatongozwi?
 
Yaan hapo ndipo ulipokosea
Maana nilivyokimbia nusu ya kuanguka alafu nikakutana na hilo neno imebid nipumzike tuu niwe mpole
dooh too bad, next time nitakua makini wakati wa kuchagua maneno ya kutumia. poor me
 
Mouth zege wanazid kuongezeka

Sent using Jamii Forums mobile app from my Android phone
 
Back
Top Bottom