Warioba ameipanda CCM kichwani..he is now in their nerve and skin

Warioba ameipanda CCM kichwani..he is now in their nerve and skin

sixgates

JF-Expert Member
Joined
Mar 19, 2011
Posts
3,979
Reaction score
1,665
Ukweli usiopingika kuwa jana, aliekuwa mwenyekiti wa tume ya katiba mpya ndg Jaji Sinde Warioba made an extraordinary presentation ambayo ilikuwa more than just a speech to the member of constitutional assembly but rather a lifetime lecture to tanzanians. Ukweli ni kwamba "the damage was done" yesterday. Nimemsikiliza, nimesoma tena ile speech nkajiuliza maswali mengi.moja wapo nikaenda kuangalia wajumbe wa katiba mpya ni akina nani? Nikafuatilia CV zao, nikafuatilia maoni ya watu mitandaoni. Pia nikaangalia kwenye tume ya katiba idadi ya wanaTANU,wanaASP, wanaCCM, nikaangalia wanaCHADEMA na vyma vingine. Nkaangalia wasomi na wengine wenye hadhi tofauti nchini, nimeanglia umri, makabila yao, dini zao nikaenda mbali na kuangalia hat historia ya waliowahi kuyafanya katika career zao.

Nimefanya hivi kuangalia kama katika hiyo tume kama pana uwezekano wa kupenyeza ajenda ya siri. Nimejaribu kufuatilia wanaowabeza akina warioba wao wamefanya nini, na wana uzalendo upi, au wao ni ccm wa aina gan kumzidi warioba au ni chadema gan kumzidi Baregu au ni nccr gan kumzidi Mvungi (RIP). Au ni wasomi gani kumzidi Paramagamba Kabudi, au wana heshma gan kwenye jaamii kumzidi Salimu Ahmed salim, au wana unyeyekevu gan kumzidi Agustino Ramadhan au wao wanaguswaje na walemavu kumzidi Al-shymaa kwagyir au wana historia gani ya hii nchi kumzid mzee Butiku.

Sijaweza kuwajua wote lakini watu ambao wanaonekana kuwa ni wazalendo wa hili taifa ni
Ole Sendeka
January Makamba
Willium Malecela
Stivin Masatu wasila
Ummy Mwalimu
Livingston Lusinde
Jaji Werema
Poul Makonda
Samweli sitta (huyu ni flexible)
Mtela Mwampamba
Et al..

Kikwete hakuna anachokizuia so far, ila kupatikana kwa katiba is not something he can push it bila kurudi CCM, so kila anachosema siwezi kumhukum nacho.

Ukweli ni kwamba ingekuwa ni kazi ngumu kupenyesha ajenda binafsi kwenye swala la rasimu ya katiba ukiangalia makundi ya wajumbe na uwezo wa kila mmoja.

Ushauri
Ccm itafute watu wenye huge reputation, ability ya kujibu hoja kuliko kuendelea kuwatumia akina Sendeka, January makamba, wasirra na Ummy Mwalimu. Ikiwezekana wawatumie watu kama Tundu Lissu, lipumba na mbatia. Huwezi kutumia watu wale wale, mbinu zile zile kubadili darasa lililotolewa jana.

Sixgates naipenda serikali moja,nchi moja.
 
Hii ya sisiemu Mch. Msigwa aliita "insanity"!
 
Ninachokiona kwenye bunge la katiba ni wingi wa watu ambao wengi wao wamcheteuliwa kulingana na uwezo wao wa kusema sana.

Wakati mwingine najiuliza sana kama mwisho wa siku itapatikana katiba itakayoibeba nchi yetu.

Mi napenda serikali mbili.
 
Ninachokiona kwenye bunge la katiba ni wingi wa watu ambao wengi wao wamcheteuliwa kulingana na uwezo wao wa kusema sana.

Wakati mwingine najiuliza sana kama mwisho wa siku itapatikana katiba itakayoibeba nchi yetu.

Mi napenda serikali mbili.

Nadhani issue ya muungano uwekwe pembeni kwanza, yajadiliwe mengine. Hilo litafutiwe wakati
 
Bunge hili lina changamoto kubwa sana,Wajumbe walio wengi hawajasoma na kuzielewa Sheria za marekebisho ya Katiba (Sheria inayo ongoza Kuijadil Rasimu ya Mzee Warioba) kama wangezijua vizur sheria wasingekuwa wanapiga debe kwa misimamo ya Vyama vyao.
In a simple way ni kwamba hii Rasimu wakicheza itatoka kama ilivo (hawatakuwa na uwezo wa kubadirisha kifungu hata kimoja) uwezekano wa kupata mbili ya tatu ya kura kwa kila upande wa muungano ni mgumu sana thus y CCM wanakomaa na kura ya wazi ili waweze kuwashika wale wafata mkumbo.Bila kupatikana mbili ya tatu ya kura Rasimu hii itakuja kupigiwa kura na wanachi kama ilivyo.
And for your information mkuu wa kaya na yeye anaunga mkono serikali tatu.
 
Take 5 man; tafadhali watumie nakala Nape Nauye na Wassira. With that kind of content na delivery; Jaji Warioba deserves a medal of mountain Kilimanjaro, CCM watalia na kusaga meno, ukweli ni kwamba amewaumbua kwa unafiki na uzandiki wao, namuhurumia mtoto wa mkulima kwa kusimamia unafiki kiasi hicho! what a big shame Peter Pinda!?
hivi kweli CCM wana dini? hivi hawa kina Wassira; Sendeka wa Simanjiro na Zakia wanamcha Mungu kweli? hebu turudishieni Tanganyika yetu; waacheni Wazenji waende zao huko baharini na umasikini wao.
 
Serikali moja ingekuwa suluhisho kama nchi ya zanzibar inaweza kuvunjwa. Lakini kwakuwa wazanzibar tayari wamejizatiti na nchi yao, na kwasababu tunahitaji kuudumisha muungano, basi suluhu hapa ni serikali 3. Hili haliepukiki
 
sadly to know that many of us are taken by events, we have no stand of our own, every sane man should expect that..he ought to do that.. warioba kwa experience yake anawajibu wa kutoa hotuba kama ile, binafsi ningeshangazwa kama asinge fanya vile, but where i stand, as i represent many of whom believe what i see, serikali tatu ni mwanzo wa a greater "Chaos" na believers wa hii kitu ni wale wasio na hamu ya Muungano..Serikali moja ni suluhisho, either way, tubaki hapa tulipo..
 
sadly to know that many of us are taken by events, we have no stand of our own, every sane man should expect that..he ought to do that.. warioba kwa experience yake anawajibu wa kutoa hotuba kama ile, binafsi ningeshangazwa kama asinge fanya vile, but where i stand, as i represent many of whom believe what i see, serikali tatu ni mwanzo wa a greater "Chaos" na believers wa hii kitu ni wale wasio na hamu ya Muungano..Serikali moja ni suluhisho, either way, tubaki hapa tulipo..

Mzee serekali moja itaua ajira za watu kibao SMZ na Baraza la wawakilishi.
 
sadly to know that many of us are taken by events, we have no stand of our own, every sane man should expect that..he ought to do that.. warioba kwa experience yake anawajibu wa kutoa hotuba kama ile, binafsi ningeshangazwa kama asinge fanya vile, but where i stand, as i represent many of whom believe what i see, serikali tatu ni mwanzo wa a greater "Chaos" na believers wa hii kitu ni wale wasio na hamu ya Muungano..Serikali moja ni suluhisho, either way, tubaki hapa tulipo..


Mkuu umeshaelezwa kwamba Serikali Moja ni ndoto za mchana sasa wewe bado uansisitiza wakati hata watawala hawataki hiyo Serikali moja wewe uko wapi katika dunia hii? kubaki hapa tulipo inawezekana kama kifimbo angekuwepo kwa kumdiscipline aliyerekebisha katiba ya kule kwa wana'mdebwedo'. Kwa kuwa JK amekuwa mwoga wa kukemea uvunjaji wa katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania uliofanywa na Zanzibar ngoja tuende kwenye Govt 3.
 
Hongera mzee warioba, umemrejeshea akili huyu mageti sita.

naona anafikiria wakodiwe jeshi kutoka jeshi la upinzani kwa maana jeshi la ccm limeishiwa mbinu kuzidhibiti silaha za kisasa "made in warioba"

ikiwa jeshi la ccm litaafikiana kumkodi Generali Tundu Lisu kupigana upande wao basi wajiandae kukubaliana na lugha ifuatayo atakayowaambia Generali Lisu.



"If the rape is inevitable just lay down and enjoy it"

itawapunguzia maumivu.
 
Hakuna hoja inayoweza kuzidi hoja za JAJI Warioba, labda watumie ubabe tu.
Huwezi kuwa na hoja za kuzidi ile timu ya watu 30 walioandaa ile rasimu, ni wazee ambao kwa umri na status zao hawana maslahi binafsi, bali wameangalia maslahi ya taifa.
 
Serekali moja waZanzibar wanaogopa kumezwa na Tanganyika serekali mbili majanga serekali ya Tanganyika imejivika koti la muungano.Njia pekee ni serekali tatu hakuna njia ya mkato.

sadly to know that many of us are taken by events, we have no stand of our own, every sane man should expect that..he ought to do that.. warioba kwa experience yake anawajibu wa kutoa hotuba kama ile, binafsi ningeshangazwa kama asinge fanya vile, but where i stand, as i represent many of whom believe what i see, serikali tatu ni mwanzo wa a greater "Chaos" na believers wa hii kitu ni wale wasio na hamu ya Muungano..Serikali moja ni suluhisho, either way, tubaki hapa tulipo..
 
Back
Top Bottom