Jese Pinkman
JF-Expert Member
- Mar 5, 2014
- 661
- 338
Serikali moja ingekuwa suluhisho kama nchi ya zanzibar inaweza kuvunjwa. Lakini kwakuwa wazanzibar tayari wamejizatiti na nchi yao, na kwasababu tunahitaji kuudumisha muungano, basi suluhu hapa ni serikali 3. Hili haliepukiki
serikali moja kwa sasa ni ndoto za mchana rudi kasome na uelewe faida na hasara za pande zote na mifumo ya hizo serikali hayo ni mawazo ya uchama kwa mgongo wa utaifa jipange tena
Mkuu hao jamaa kama tume ya katiba ingeundwa na watu toka nje (hasa wazungu) wangeisifu mno rasimu hii na msimamo wa chama wangependekeza ubadilike kwa nguvu zote. Hao (blue) wanahekima ila Six ni masilahi zaidi.Ukweli usiopingika kuwa jana, aliekuwa mwenyekiti wa tume ya katiba mpya ndg Jaji Sinde Warioba made an extraordinary presentation ambayo ilikuwa more than just a speech to the member of constitutional assembly but rather a lifetime lecture to tanzanians. Ukweli ni kwamba "the damage was done" yesterday. Nimemsikiliza, nimesoma tena ile speech nkajiuliza maswali mengi.moja wapo nikaenda kuangalia wajumbe wa katiba mpya ni akina nani? Nikafuatilia CV zao, nikafuatilia maoni ya watu mitandaoni. Pia nikaangalia kwenye tume ya katiba idadi ya wanaTANU,wanaASP, wanaCCM, nikaangalia wanaCHADEMA na vyma vingine. Nkaangalia wasomi na wengine wenye hadhi tofauti nchini, nimeanglia umri, makabila yao, dini zao nikaenda mbali na kuangalia hat historia ya waliowahi kuyafanya katika career zao.
Nimefanya hivi kuangalia kama katika hiyo tume kama pana uwezekano wa kupenyeza ajenda ya siri. Nimejaribu kufuatilia wanaowabeza akina warioba wao wamefanya nini, na wana uzalendo upi, au wao ni ccm wa aina gan kumzidi warioba au ni chadema gan kumzidi Baregu au ni nccr gan kumzidi Mvungi (RIP). Au ni wasomi gani kumzidi Paramagamba Kabudi, au wana heshma gan kwenye jaamii kumzidi Salimu Ahmed salim, au wana unyeyekevu gan kumzidi Agustino Ramadhan au wao wanaguswaje na walemavu kumzidi Al-shymaa kwagyir au wana historia gani ya hii nchi kumzid mzee Butiku.
Sijaweza kuwajua wote lakini watu ambao wanaonekana kuwa ni wazalendo wa hili taifa ni
Ole Sendeka
January Makamba
Willium Malecela
Stivin Masatu wasila
Ummy Mwalimu
Livingston Lusinde
Jaji Werema
Poul Makonda
Samweli sitta (huyu ni flexible)
Mtela Mwampamba
Et al..
Kikwete hakuna anachokizuia so far, ila kupatikana kwa katiba is not something he can push it bila kurudi CCM, so kila anachosema siwezi kumhukum nacho.
Ukweli ni kwamba ingekuwa ni kazi ngumu kupenyesha ajenda binafsi kwenye swala la rasimu ya katiba ukiangalia makundi ya wajumbe na uwezo wa kila mmoja.
Ushauri
Ccm itafute watu wenye huge reputation, ability ya kujibu hoja kuliko kuendelea kuwatumia akina Sendeka, January makamba, wasirra na Ummy Mwalimu. Ikiwezekana wawatumie watu kama Tundu Lissu, lipumba na mbatia. Huwezi kutumia watu wale wale, mbinu zile zile kubadili darasa lililotolewa jana.
Sixgates naipenda serikali moja,nchi moja.
Ukweli usiopingika kuwa jana, aliekuwa mwenyekiti wa tume ya katiba mpya ndg Jaji Sinde Warioba made an extraordinary presentation ambayo ilikuwa more than just a speech to the member of constitutional assembly but rather a lifetime lecture to tanzanians. Ukweli ni kwamba "the damage was done" yesterday. Nimemsikiliza, nimesoma tena ile speech nkajiuliza maswali mengi.moja wapo nikaenda kuangalia wajumbe wa katiba mpya ni akina nani? Nikafuatilia CV zao, nikafuatilia maoni ya watu mitandaoni. Pia nikaangalia kwenye tume ya katiba idadi ya wanaTANU,wanaASP, wanaCCM, nikaangalia wanaCHADEMA na vyma vingine. Nkaangalia wasomi na wengine wenye hadhi tofauti nchini, nimeanglia umri, makabila yao, dini zao nikaenda mbali na kuangalia hat historia ya waliowahi kuyafanya katika career zao.
Nimefanya hivi kuangalia kama katika hiyo tume kama pana uwezekano wa kupenyeza ajenda ya siri. Nimejaribu kufuatilia wanaowabeza akina warioba wao wamefanya nini, na wana uzalendo upi, au wao ni ccm wa aina gan kumzidi warioba au ni chadema gan kumzidi Baregu au ni nccr gan kumzidi Mvungi (RIP). Au ni wasomi gani kumzidi Paramagamba Kabudi, au wana heshma gan kwenye jaamii kumzidi Salimu Ahmed salim, au wana unyeyekevu gan kumzidi Agustino Ramadhan au wao wanaguswaje na walemavu kumzidi Al-shymaa kwagyir au wana historia gani ya hii nchi kumzid mzee Butiku.
Sijaweza kuwajua wote lakini watu ambao wanaonekana kuwa ni wazalendo wa hili taifa ni
Ole Sendeka
January Makamba
Willium Malecela
Stivin Masatu wasila
Ummy Mwalimu
Livingston Lusinde
Jaji Werema
Poul Makonda
Samweli sitta (huyu ni flexible)
Mtela Mwampamba
Et al..
Kikwete hakuna anachokizuia so far, ila kupatikana kwa katiba is not something he can push it bila kurudi CCM, so kila anachosema siwezi kumhukum nacho.
Ukweli ni kwamba ingekuwa ni kazi ngumu kupenyesha ajenda binafsi kwenye swala la rasimu ya katiba ukiangalia makundi ya wajumbe na uwezo wa kila mmoja.
Ushauri
Ccm itafute watu wenye huge reputation, ability ya kujibu hoja kuliko kuendelea kuwatumia akina Sendeka, January makamba, wasirra na Ummy Mwalimu. Ikiwezekana wawatumie watu kama Tundu Lissu, lipumba na mbatia. Huwezi kutumia watu wale wale, mbinu zile zile kubadili darasa lililotolewa jana.
Sixgates naipenda serikali moja,nchi moja.
Ninachokiona kwenye bunge la katiba ni wingi wa watu ambao wengi wao wamcheteuliwa kulingana na uwezo wao wa kusema sana.
Wakati mwingine najiuliza sana kama mwisho wa siku itapatikana katiba itakayoibeba nchi yetu.
Mi napenda serikali mbili.
Jamani ninaomba kujua, je Muungano ni lazima? Kama wananchi wa Zanzibar hawataki Muungano, je ni sawa kuwalazimisha? Hali halisi yajionyesha, Zanzibar haiko tayari kuibadilisha katiba yao irudi kama ilivyokuwa 1985. Wananchi wameshasema kuwa kuulinda Muungano ni heri tuwe na inchi mbili zinazotambulika (Tanganyika na Zanzibar) na kiisha serikali tatu. Ikumbukwe walinzi wa Muungano ni wananchi sii viongozi wa serikali. Hongera Warioba kwa kuwasilisha kwa ufasaha mawazo yetu wananchi.sadly to know that many of us are taken by events, we have no stand of our own, every sane man should expect that..he ought to do that.. warioba kwa experience yake anawajibu wa kutoa hotuba kama ile, binafsi ningeshangazwa kama asinge fanya vile, but where i stand, as i represent many of whom believe what i see, serikali tatu ni mwanzo wa a greater "Chaos" na believers wa hii kitu ni wale wasio na hamu ya Muungano..Serikali moja ni suluhisho, either way, tubaki hapa tulipo..
Ninachokiona kwenye bunge la katiba ni wingi wa watu ambao wengi wao wamcheteuliwa kulingana na uwezo wao wa kusema sana.
Wakati mwingine najiuliza sana kama mwisho wa siku itapatikana katiba itakayoibeba nchi yetu.
Mi napenda serikali mbili.
sadly to know that many of us are taken by events, we have no stand of our own, every sane man should expect that..he ought to do that.. warioba kwa experience yake anawajibu wa kutoa hotuba kama ile, binafsi ningeshangazwa kama asinge fanya vile, but where i stand, as i represent many of whom believe what i see, serikali tatu ni mwanzo wa a greater "Chaos" na believers wa hii kitu ni wale wasio na hamu ya Muungano..Serikali moja ni suluhisho, either way, tubaki hapa tulipo..
Hofu ya ccm katika hili ni mbili:
1.CCM kupasuka kuliko muungano kuvunjika, na hii ilikwa ni msingi kwa serikali na kamati ya wabunge wa ccm kuuusu hoja ya G55 bungeni wakati ule. Uamuzi ule ulilenga kuizuia ccm isipasuke kuliko kuzuia muungano usivunjike. Ni nyerere ndiye aliyekuja na uamuzi ambao ukaiokoa ccm, huku kuokoa muungano likiwa ni suala secondary (primary kwa nyerere). Lakini kwa vile suala la kuiua Tanganyika ni suala lililokiuka mkataba wa muungao, solution za kuliweka tatizo hili chini ya carpet kamwe haitazaa matunda na ndio maana limerudi tena. Hadhi ya kweli ya znz katika muungano haiwezi kupatikana bila ya kuzinduliwa kwa Tanganyika ambayo imekuwa kwenye coma kwa miaka 46 (1967-2014). Na kadri wazanzibari wanavyoendelea kurudi kwenye yaliyokubaliwa kwenye mkataba wa muungano (1964) ndivyo watanganyika wanavyozidi kuamka kujua ukweli wa historia na pia umuhimu wa kuzindua Tanganyika yao. Katika suala la Tanganyika, hakuna kurudi nyuma, na hii agenda itaigharimu sana ccm uchaguzi 2015.
2. Hofu ya pili kwa ccm ni kwamba tangia muungano uzaliwe, CCM imekuwa iki focus zaidi katika controlling people (kudhibiti watu) kuliko controlling territory (kudhibiti eneo lake la asili la utawala), kwani chama kina amini kwamba mtaji wake wa kutawala ni kwa kudhibiti watu zaidi ya eneo lake la utawala (Tanganyika), na kwa mantiki hii, ikawa tayari na bado ipo tayari kuisaliti Tanganyika ili mradi tu himaya yake isambae hadi zanzibar kupitia mfumo wa serikali mbili. Lakini kweli unabakia wazi kwamba nguvu ya ccm znz haijawahi kuwa ni nguvu ya TANU bali ndoa yake na ASP. Serikali tatu itapelekea mgogoro wa ndoa hii hivyo legitimacy ya ccm znz kuwa mashakani. Ccm ilifanya kosa kubwa kuchakachua mkataba wa muungao kupitia TANU pale ilipoingiza suala la vyama vya siasa kama ni suala la muungano nje ya mkataba ule kwani mkataba haukutaja vyama vya siasa. Iwapo TANU isingefanya hivyo kupitia sheria za muungano 1965, sheria ambazo hazikuishirikisha znz, leo ccm isingekuwa na wanachoita "changamoto za muungano" kwani siasa chini ya federation zingeendelea bila matatizo unlike under the current forced unitary structure.
CCM itaendelea kupigania masuala mengi ya katiba ya jmt 1977 yaendelee kwa vile katiba hii ilijengwa juu ya nguzo kuu zifuatazo:
1. One party state (CCM) ambapo baada ya muungano kuishi chini ya katiba ya muda kwa miaka 12 (1965-1977), ikadhaniwa kwamba solution ni kuunganisha vyama vya siasa, hence kuishia kuufanya muungano kuwa ni wa kisiasa huku uchumi ukitumikia siasa husika. Katika kipindi hiki CCM ika transform kutoka a political party into a state party controlling all politics. Leo tunaishi chini ya mfumo wa vyama vingi lakini multipartism sio sawa na democracy. Hakuna demokrasia Tanzania. Na isitoshe, chini ya katiba ya sasa, what we have is the rule of the registrar rather than the rule of law.
Serikali tatu will destroy mfumo wote hapo juu, lakini muhimu zaidi, legitimacy ya ccm zanzibar itapungua kwani maana nzima ya TANU + ASP itakuwa haipo tena. Legitimacy ya ccm Tanganyika ndio itakwisha kabisa kwa vile ccm ilishaukataa utanganyika, kwanza kwa kukifuta TANU lakini pia kwa TANU kuifuta Tanganyika kwa mujibu wa sheria namba 24 ya 1967.
2.Nguzo ya pili ya katiba ya sasa ni the Two governmet union structure kama nilivyojadili hapo awali.
Mwisho - nazungumza haya kama mwana ccm ninayeamini katika ccm kuanza upya na kurekebisha makosa ya huko nyuma kwani hivyo ndivyo sisi vijana tutaweza endeleza chama hiki na kurudisha imani kwa wananchi hata kama itabidi kuwa chama cha upinzani kwa muda. Siasa za kpokezana vijiti ndio demokrasia, tunahitaji ccm ambayo itakuwa inashinda au kushindwa on an equal playing field. Ushindani wa aina hii ndio wa maana na sustainable, sio ushindani wa ujanja ujanja.
Kinachosikitisha sana tena sana ni vijana waliopo ndai ya NEC, CC kwenye chama kutoona haya. Badala ya kupigania ccmm mabadiliko ili mbeleni waendelee kwa na legitimacy kwa umma hasa ikizingatiwa kwamba bado waa umri mdogo na safari ndefu kisiasa, wao wanaegemea kwa wazee ambao wanaja walishaharibu suala zima la muungano na kwa vile muda wao madarakani hauzidi miaka 20 kutokana na umri, wazee hawa wanapigania kuendeleza mfumo wenye makosa kwani ndio umewafikisha hapo. Kweli vijana mpo tayari kurithi chama chenye migogoro hii ambayo mnaibatiza jina la "changamoto za muungano"? Ni kweli hamuelewi maana ya Tanganyika ndani ya muungano?
Tunashukuru angalau wazee kama warioba, na wengine wameona kasoro zilizopo na wana nia nzuri sana ya kukiokoa ccm ya vijana wa sasa (sio wazee), kuokoa muungano, na pia kokoa machafuko kwa kuifufua Tanganyika kwani bila ya Tanganyika, zanzibar wanayoitaka wazanzibari kihadhi na kihali haiwezekani, na bila ya Tanganyika, kwa vijana wengi sasa, Tanzania haiwezekani kwani wamengudua kwamba Tanganyika kumbe haikutoweka bali imekuwepo kwa miaka 50 ikiwa imevaa koti la muungano ikiitwa Tanzania bara.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums