Takribani zaidi ya masaa matatu aliyotumia Mwenyekiti wa Mchakato wa Katiba Mpya, Jaji Joseph Sinde Waryoba kuwasilisha kile kinachoitwa(nasema ni kile kinachoitwa kwa vile sasa maana halisi ya Katiba Mpya haipo tena) Rasimu ya Katiba Mpya alitetea (na siyo kuwasilisha maoni ya wananchi) muundo wa Serikali tatu.
Watanzania wengi kutoka makundi mbali mbali wakiwemo Wakulima, Wafugaji, Walemavu, Watoto, Vijana, Wanawake, Wazee na mengine mengi wamebaki wameduwaa na kujiuliza maswali mengi kama kilichowasilishwa jana bungeni ni Rasimu ya Katiba Mpya au ni Rasimu ya namna gani ya Muundo wa Muungano unawafaa watanzania, hoja ambayo pasi na shaka ni kwa manufaa ya wanasiasa.
Jmbo kubwa ambalo watu wamebaki wakijiuliza ni namana ambavyo Waryoba alitumia nguvu nyingi kutetea hoja ya serikali tatu huku akijua kabisa katika mchakato mzima wapo watanzania tena wengi tu ambao ni waumini wa Serikali mbili na wengine akiwemo yeye mwenyewe ni auminini wa serikali moja.
Watu wanajiuliza Waryoba ambaye ni muumini wa serikali moja alishikwa na nini au kuna nini kimejificha juu ya msimamo wake katika serikali tatu na kusahau kabisa kugusia hata serikali moja ambayo yeye anaaamini ni nguzo imara ya Muungano?
Lakini kubwa ambalo Makungi ambayo jana yamesaulika kwenye hotuba ya Jaji waryoba yanajiuliza ni wapi watasimama kuhoji haki zao kwenye Katiba itakayopatikana wakati tangu mwanzo wameonekana kusahaulika?
Mytake: Iko haja kubwa kabisa ya Wabunge wa Bunge maalum la Katiba kujitazama upya kuhusiana na rasimu hiyo la sivyo kuna kila dalili kuwa Katiba inayokwenda kuandikwa ni kwa ajili ya Wanasiasa na watu kama akina Waryoba ambayo yawezekana kabisa kuna kitu wameahidiwa na kufumba macho yao bila kujali athari ambzo zianweza kujitokeza ikwamo kuvunjika kwa Muungano ulioasisiwa na Wazee wtu Julius Kmabarage Nyerere na Abeid Aman Karume.
Watanzania wengi kutoka makundi mbali mbali wakiwemo Wakulima, Wafugaji, Walemavu, Watoto, Vijana, Wanawake, Wazee na mengine mengi wamebaki wameduwaa na kujiuliza maswali mengi kama kilichowasilishwa jana bungeni ni Rasimu ya Katiba Mpya au ni Rasimu ya namna gani ya Muundo wa Muungano unawafaa watanzania, hoja ambayo pasi na shaka ni kwa manufaa ya wanasiasa.
Jmbo kubwa ambalo watu wamebaki wakijiuliza ni namana ambavyo Waryoba alitumia nguvu nyingi kutetea hoja ya serikali tatu huku akijua kabisa katika mchakato mzima wapo watanzania tena wengi tu ambao ni waumini wa Serikali mbili na wengine akiwemo yeye mwenyewe ni auminini wa serikali moja.
Watu wanajiuliza Waryoba ambaye ni muumini wa serikali moja alishikwa na nini au kuna nini kimejificha juu ya msimamo wake katika serikali tatu na kusahau kabisa kugusia hata serikali moja ambayo yeye anaaamini ni nguzo imara ya Muungano?
Lakini kubwa ambalo Makungi ambayo jana yamesaulika kwenye hotuba ya Jaji waryoba yanajiuliza ni wapi watasimama kuhoji haki zao kwenye Katiba itakayopatikana wakati tangu mwanzo wameonekana kusahaulika?
Mytake: Iko haja kubwa kabisa ya Wabunge wa Bunge maalum la Katiba kujitazama upya kuhusiana na rasimu hiyo la sivyo kuna kila dalili kuwa Katiba inayokwenda kuandikwa ni kwa ajili ya Wanasiasa na watu kama akina Waryoba ambayo yawezekana kabisa kuna kitu wameahidiwa na kufumba macho yao bila kujali athari ambzo zianweza kujitokeza ikwamo kuvunjika kwa Muungano ulioasisiwa na Wazee wtu Julius Kmabarage Nyerere na Abeid Aman Karume.