Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako.
Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.
Kwa mara ya kwanza kutakuwa hakuna kukosoana wala kukamatana kila mmoja anamwogopa mwenzake maana wizi wa kuiba kura na matangazo yamefanywa shirika.
Wabunge wa CCM hawana faida hata chembe hawawezi kuijenga wala kuibana au kuikosoa serikali na hata kuielekeza pia watakuwa hawathubutu ,ndio tukaona kwa vile hilo haliwezekani ni lazima wawemo wabunge wa upinzani japo mmoja ili aweze kuwa au kutumika kuikosoa na kuipinga serikali kwa nguvu zake zote.
CCM wanaiharibu nchi.
Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.
Kwa mara ya kwanza kutakuwa hakuna kukosoana wala kukamatana kila mmoja anamwogopa mwenzake maana wizi wa kuiba kura na matangazo yamefanywa shirika.
Wabunge wa CCM hawana faida hata chembe hawawezi kuijenga wala kuibana au kuikosoa serikali na hata kuielekeza pia watakuwa hawathubutu ,ndio tukaona kwa vile hilo haliwezekani ni lazima wawemo wabunge wa upinzani japo mmoja ili aweze kuwa au kutumika kuikosoa na kuipinga serikali kwa nguvu zake zote.
CCM wanaiharibu nchi.