WARIOBA asema kweli - Hakuna atakayeweza kumfunga Paka kengele

WARIOBA asema kweli - Hakuna atakayeweza kumfunga Paka kengele

Kwa Afrika Mashariki, Tanzania ndio kuna ujinga mwingi kwa raia wake kuliko sehemu yoyote ile.
 
Japo swali lako umelielekeza kwa mleta mada..si vibaya nikikushirikisha maoni yangu niliyotoa kwenye uzi mwingine:

AHSANTE
 
Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako.

Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.

Kwa mara ya kwanza kutakuwa hakuna kukosoana wala kukamatana kila mmoja anamwogopa mwenzake maana wizi wa kuiba kura na matangazo yamefanywa shirika.

Wabunge wa CCM hawana faida hata chembe hawawezi kuijenga wala kuibana au kuikosoa serikali na hata kuielekeza pia watakuwa hawathubutu ,ndio tukaona kwa vile hilo haliwezekani ni lazima wawemo wabunge wa upinzani japo mmoja ili aweze kuwa au kutumika kuikosoa na kuipinga serikali kwa nguvu zake zote.

CCM wanaiharibu nchi.

Hivi msimu wa Kilimo umepita?
 
Magufuli katuchukua mateka ila anguko lake litakuwa la ghafla sana
 
Yeye na msekwa lawama haziwaachi Kama ndo msingi wa katiba mbovu ya kuzalisha pakapori
 
Kwa Afrika Mashariki, Tanzania ndio kuna ujinga mwingi kwa raia wake kuliko sehemu yoyote ile.
Mbumbumbu wengi kuliko nchi nyingine za A.Mashariki.Nashida no mifumo mibovu tangu ya uhabarishaji na ile rasmi ya uelimishaji.
 
Mtu mwenyewe wa kumsikiliza ni Waziri mkuu mstaafu Warioba? Alifanya nini alipokuwa Waziri Mkuu? Mwacheni ale pension yake maana ni aibu tupu aliyokuwa anafanya wakati wake tena kwa kubwebwa na mbeleko.
 
Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako.

Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.

Kwa mara ya kwanza kutakuwa hakuna kukosoana wala kukamatana kila mmoja anamwogopa mwenzake maana wizi wa kuiba kura na matangazo yamefanywa shirika.

Wabunge wa CCM hawana faida hata chembe hawawezi kuijenga wala kuibana au kuikosoa serikali na hata kuielekeza pia watakuwa hawathubutu ,ndio tukaona kwa vile hilo haliwezekani ni lazima wawemo wabunge wa upinzani japo mmoja ili aweze kuwa au kutumika kuikosoa na kuipinga serikali kwa nguvu zake zote.

CCM wanaiharibu nchi.
Magufuli na hasa hii CCM ya Magufuli ndiyo inaipeleka Tanzania shimoni.
Something must be done to change things.......!??
 
Aendelee kula pension,aachane na haya mambo,wastaafu walishaambiwa waache kuwashwa washwa
 
Back
Top Bottom