Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AHSANTEJapo swali lako umelielekeza kwa mleta mada..si vibaya nikikushirikisha maoni yangu niliyotoa kwenye uzi mwingine:
Namna pekee ya kusonga mbele ni kubadili mifumo
Matatizo mengi tunayoyapitia ya kisiasa, kiuchumi na kijamii yametokana na mifumo tuliyonayo kama nchi na wananchi, pamoja na mifumo iliyojengwa "na dunia". Bara la Afrika lilikuwa na mifumo yake ya uongozi, uchumi, ustaarabu, jamii, usalama, nk., kabla ya biashara za masafa marefu na kabla ya...www.jamiiforums.com
Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako.
Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.
Kwa mara ya kwanza kutakuwa hakuna kukosoana wala kukamatana kila mmoja anamwogopa mwenzake maana wizi wa kuiba kura na matangazo yamefanywa shirika.
Wabunge wa CCM hawana faida hata chembe hawawezi kuijenga wala kuibana au kuikosoa serikali na hata kuielekeza pia watakuwa hawathubutu ,ndio tukaona kwa vile hilo haliwezekani ni lazima wawemo wabunge wa upinzani japo mmoja ili aweze kuwa au kutumika kuikosoa na kuipinga serikali kwa nguvu zake zote.
CCM wanaiharibu nchi.
Hazina tija,hivyo tusonge mbele.Swali kwa mleta habari, nini kifanyike kwa mtazamo na maoni yako?
Sio kutupigia kelele hapa zisizo na tija.
Roho kongwe zikijitoa sadaka itapendeza,na malipo yao yapo karibu tofauti na zile changa.Hakuna roho kongwe kila mtu anataka kuishi mkuu.
Mbumbumbu wengi kuliko nchi nyingine za A.Mashariki.Nashida no mifumo mibovu tangu ya uhabarishaji na ile rasmi ya uelimishaji.Kwa Afrika Mashariki, Tanzania ndio kuna ujinga mwingi kwa raia wake kuliko sehemu yoyote ile.
Kwa Afrika Mashariki, Tanzania ndio kuna ujinga mwingi kwa raia wake kuliko sehemu yoyote ile.
Magufuli na hasa hii CCM ya Magufuli ndiyo inaipeleka Tanzania shimoni.Kwa aliemsikiliza Jaji warioba atakuwa ameupata ukweli wa hatari inayoikabili Tanzania huko tuelekeako.
Chains au minyororo au tuseme links zile zilizomfanya na kuwafanya CCM waibuke na ushindi kuanzia diwani mpaka Raisi ni mchezo hatari unaoweza kuipeleka nchi katika shida.
Kwa mara ya kwanza kutakuwa hakuna kukosoana wala kukamatana kila mmoja anamwogopa mwenzake maana wizi wa kuiba kura na matangazo yamefanywa shirika.
Wabunge wa CCM hawana faida hata chembe hawawezi kuijenga wala kuibana au kuikosoa serikali na hata kuielekeza pia watakuwa hawathubutu ,ndio tukaona kwa vile hilo haliwezekani ni lazima wawemo wabunge wa upinzani japo mmoja ili aweze kuwa au kutumika kuikosoa na kuipinga serikali kwa nguvu zake zote.
CCM wanaiharibu nchi.
Kama ni kweli zile sifa unazotoa kwa baadhi ni halisi au fake.Naunga mkono hoja.