Warioba: Hatutaki Katiba ya maandamano

Warioba: Hatutaki Katiba ya maandamano

security guard

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
799
Reaction score
603
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji (Mstaafu) Joseph Warioba amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa watanzania.

Ametahadharisha kuwa dhana hiyo inaweza kusababisha kupatikana kwa katiba ya kikundi cha kisiasa kinachotafuta maslahi binafsi kinyume cha matakwa ya wengi.

Jaji Warioba ametoa tahadhari hiyo katika mkutano na waandishi wa habari Dar es salaaam wiki iliyopita, huku akivitaka vyama vya siasa kuacha kasumba ya kujitazama vyenyewe badala yake visaidie kujenga umoja wa kitaifa.

"hatutapata katiba kwa maneno ya majukwaani na maandamano, hatutaki katiba ya kikundi cha watu, tunataka katiba ya nchi," amesisitiza Jaji Warioba na kuongeza:

"huu utaratibu wa kuzungumza kwenye majukwaa, vyama vya siasa vnazungumza kwa kujitazama vyenyewe, kinachofanyika sasa kinaweza kuwagawa wananchi badala ya kuwaleta wananchi pamoja"

Habari hii ipo kwenye GAZETI la JAMHURI la leo Jamanne Oktoba 1-7, 2013.
 
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji (Mstaafu) Joseph Warioba amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa watanzania.

Ametahadharisha kuwa dhana hiyo inaweza kusababisha kupatikana kwa katiba ya kikundi cha kisiasa kinachotafuta maslahi binafsi kinyume cha matakwa ya wengi.

Jaji Warioba ametoa tahadhari hiyo katika mkutano na waandishi wa habari Dar es salaaam wiki iliyopita, huku akivitaka vyama vya siasa kuacha kasumba ya kujitazama vyenyewe badala yake visaidie kujenga umoja wa kitaifa.

"hatutapata katiba kwa maneno ya majukwaani na maandamano, hatutaki katiba ya kikundi cha watu, tunataka katiba ya nchi," amesisitiza Jaji Warioba na kuongeza:

"huu utaratibu wa kuzungumza kwenye majukwaa, vyama vya siasa vnazungumza kwa kujitazama vyenyewe, kinachofanyika sasa kinaweza kuwagawa wananchi badala ya kuwaleta wananchi pamoja"

Habari hii ipo kwenye GAZETI la JAMHURI la leo Jamanne Oktoba 1-7, 2013.

Na alikanusha uzushi wa MAWIO Kuwa tume yake itajiuzulu.
 
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji (Mstaafu) Joseph Warioba amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa watanzania.

Ametahadharisha kuwa dhana hiyo inaweza kusababisha kupatikana kwa katiba ya kikundi cha kisiasa kinachotafuta maslahi binafsi kinyume cha matakwa ya wengi.

Jaji Warioba ametoa tahadhari hiyo katika mkutano na waandishi wa habari Dar es salaaam wiki iliyopita, huku akivitaka vyama vya siasa kuacha kasumba ya kujitazama vyenyewe badala yake visaidie kujenga umoja wa kitaifa.

"hatutapata katiba kwa maneno ya majukwaani na maandamano, hatutaki katiba ya kikundi cha watu, tunataka katiba ya nchi," amesisitiza Jaji Warioba na kuongeza:

"huu utaratibu wa kuzungumza kwenye majukwaa, vyama vya siasa vnazungumza kwa kujitazama vyenyewe, kinachofanyika sasa kinaweza kuwagawa wananchi badala ya kuwaleta wananchi pamoja"

Habari hii ipo kwenye GAZETI la JAMHURI la leo Jamanne Oktoba 1-7, 2013.
Hilo mbona liko wazi kuwa CHADEMA wana agenda ya siri katika hili, lakini ni jambo la furaha kuwa wananchi wameelelimishwa vya kutosha juu ya janja hii na huku mitaani wanasema hawataki kuona ya misri, libya na tunisia yakitokea kwa sababu ya vibaraka wachache wa nchi za kigeni.
 
namuunga mkono warioba katiba ya mandamano ni matakwa ya wanasiasa wachache kwa maslahi yao binafsi lakini sidhani kama wananchi watakubali kudanganyika.
 
its fine as long as CCM nao hawaingilii mchakato huu. Kwenye haki ni lini utamwona mtu akiingia barabarani kuandamana?
 
Huyu naye Warioba, ndiyo maana Nape alimuita Mzee anayesuburi KUFA

Hivi hajui maandamanio ni last resort ya wananchi kudai HAKI yao!!

Kama mchakato wa KATIBA ni wa HAKI NA HURU hakuna hata mwanannchi mmoja ataingia barabarani kuandamana. Get real Judget Warioba
 
Sitaki kuamini kuwa Jaji Warioba naye ana tatizo la kukosa msimamo.Hivi anachokipinga hasa ni nini dhidi ya Vyama vya Upinzani?Ni wao kama wao na njia waliyoitumia kuipigania Katiba bora au hoja yao?Hivi ana taarifa kwamba miongoni mwa mambo ambayo Muungano wa Upinzani wanayapinga ni pamoja na kuvunjwa kwa Tume yake mwenyewe suala ambalo hata yeye mwenyewe amenukuliwa akilipigia kelele?
 
Sitaki kuamini kuwa Jaji Warioba naye ana tatizo la kukosa msimamo.Hivi anachokipinga hasa ni nini dhidi ya Vyama vya Upinzani?Ni wao kama wao na njia waliyoitumia kuipigania Katiba bora au hoja yao?Hivi ana taarifa kwamba miongoni mwa mambo ambayo Muungano wa Upinzani wanayapinga ni pamoja na kuvunjwa kwa Tume yake mwenyewe suala ambalo hata yeye mwenyewe amenukuliwa akilipigia kelele?
Uzushi wa mawio huu..,ambao ameupinga pia.
 
mandamano hayana tija sana katika kutafuta suruhu ngoja wahangaike.
 
Hapo ndipo mtamjua Warioba ni nani,
Huyu ni kada wa Tanu, Makamu wa zamani wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu,Mwanafunzi wa Mwalimu Nyerere aliyeamini katika serikali mbili.
 
I can understand his frustrations. He has a very uncertain future after swindling billions from Mwananchi Gold. We surely and certainly will demand an explanation from him one day.
 
"hatutapata katiba kwa maneno ya majukwaani na maandamano, hatutaki katiba ya kikundi cha watu, tunataka katiba ya nchi," amesisitiza Jaji Warioba na kuongeza:

"huu utaratibu wa kuzungumza kwenye majukwaa, vyama vya siasa vnazungumza kwa kujitazama vyenyewe, kinachofanyika sasa kinaweza kuwagawa wananchi badala ya kuwaleta wananchi pamoja"
.

Mbona wote wameguswa na hili, si cdm si ccm. Lakini Warioba anapaswa kujua kuwa kuna tatizo mahali Fulani. Ajisimamie na asimamie maoni ya wananchi waliyoyatoa mmoja mmoja si hayo ya kulishwa na wanasiasa. Kwa mfano Makinda alinukuliwa akipendekeza kuwa katika katiba mpya spika asitokane na chama cha siasa; hayo ndiyo maoni binafsi yakiunganishwa na ya watanzania wengine binafsi yataunda katiba; lakini Makinda akivaa joho la ccm basi ataimba yale ccm inayoyataka kuwa spika atoke kwenye chama cha siasa. Hayo ndiyo maoni ya kikundi Fulani - hayakubaliki
 
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji (Mstaafu) Joseph Warioba amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa watanzania.

Ametahadharisha kuwa dhana hiyo inaweza kusababisha kupatikana kwa katiba ya kikundi cha kisiasa kinachotafuta maslahi binafsi kinyume cha matakwa ya wengi.

Jaji Warioba ametoa tahadhari hiyo katika mkutano na waandishi wa habari Dar es salaaam wiki iliyopita, huku akivitaka vyama vya siasa kuacha kasumba ya kujitazama vyenyewe badala yake visaidie kujenga umoja wa kitaifa.

"hatutapata katiba kwa maneno ya majukwaani na maandamano, hatutaki katiba ya kikundi cha watu, tunataka katiba ya nchi," amesisitiza Jaji Warioba na kuongeza:

"huu utaratibu wa kuzungumza kwenye majukwaa, vyama vya siasa vnazungumza kwa kujitazama vyenyewe, kinachofanyika sasa kinaweza kuwagawa wananchi badala ya kuwaleta wananchi pamoja"

Habari hii ipo kwenye GAZETI la JAMHURI la leo Jamanne Oktoba 1-7, 2013.

Mtasema sana lkn hatutasikiliza fitina,mtalalamika kinafiki lkn mwendo mdundo,kwa taarifa ya wanaounga mkono mawazo ya mzee Warioba naeapa pole,ni ukweli usiopingika kwamba hakuna njia mbadala ya kupinga udhalimu wa Maccm kama siio shinikizo la maandamano na kutokushiriki bunge la katiba.kama ni majadiliano yalifanyika bungeni lkn kwa usheyani wa maccm yakiongozwa na gaidi wa demokrasia Ndugai walibaka mjadala na kupitisha matakwa yao.hakika njia pekee ni kuwaelimisha raia na kisha tuunganishe kuwapinga kwa nguvu zetu,kwa ghatama yoyote,hata kama ni kwa damu lkn tu vizazi vijavyo vineemeke na katiba ya watanzania wote na sio watanzania maccm.nami jimboni kwangu tunaanza rasmi maandalizi ya maandamano ya kupinga kusainiwa ule mswaada wa sheria.
Wana wa Segerea kesho baada ya mafunzo ya chadema ni msingi tutapanga juu ya maandamano ya tarehe kumi oktoba.
 
Hana lolote.. Baada ya kamati yake kula mabilioni wamekuja na mapendekezo kichwa bila kiwiliwili. Katiba ya muungano bila kwanza kukubaliana hadhi ya tanganyika na zanzibar kikatiba ni bure tu. Kamati ya Warioba inajaribu kuburuza watu kuafiki mapendekezo yake.
 
Hana lolote.. Baada ya kamati yake kula mabilioni wamekuja na mapendekezo kichwa bila kiwiliwili. Katiba ya muungano bila kwanza kukubaliana hadhi ya tanganyika na zanzibar kikatiba ni bure tu. Kamati ya Warioba inajaribu kuburuza watu kuafiki mapendekezo yake.
So strange hata kuitaja Tanganyika wanaogopa, wameng'ang'ana eti Tanzania bara, hiyo bara inatoka wapi bila Tanganyika? Stupid mzee. Yametafuna posho yakashindwa kukidhi matarajio yetu.
 
Mwenyekiti wa Tume ya mabadiliko ya katiba Jaji (Mstaafu) Joseph Warioba amekemea vyama vya siasa vinavyoelekea kutafuta Katiba mpya kwa njia ya maandamano na kuwagawa watanzania.

Ametahadharisha kuwa dhana hiyo inaweza kusababisha kupatikana kwa katiba ya kikundi cha kisiasa kinachotafuta maslahi binafsi kinyume cha matakwa ya wengi.

Jaji Warioba ametoa tahadhari hiyo katika mkutano na waandishi wa habari Dar es salaaam wiki iliyopita, huku akivitaka vyama vya siasa kuacha kasumba ya kujitazama vyenyewe badala yake visaidie kujenga umoja wa kitaifa.

"hatutapata katiba kwa maneno ya majukwaani na maandamano, hatutaki katiba ya kikundi cha watu, tunataka katiba ya nchi," amesisitiza Jaji Warioba na kuongeza:

"huu utaratibu wa kuzungumza kwenye majukwaa, vyama vya siasa vnazungumza kwa kujitazama vyenyewe, kinachofanyika sasa kinaweza kuwagawa wananchi badala ya kuwaleta wananchi pamoja"

Habari hii ipo kwenye GAZETI la JAMHURI la leo Jamanne Oktoba 1-7, 2013.

umeona wapi mbuzi akageuka kuwa ng'ombe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Huyu naye Warioba, ndiyo maana Nape alimuita Mzee anayesuburi KUFA

Hivi hajui maandamanio ni last resort ya wananchi kudai HAKI yao!!

Kama mchakato wa KATIBA ni wa HAKI NA HURU hakuna hata mwanannchi mmoja ataingia barabarani kuandamana. Get real Judget Warioba

hivi ninyi mnaoyataka hayo maandamano mmemkosa huyo warioba?
 
Back
Top Bottom