Warioba Kuchafua hali ya Hewa Bungeni

hata mimi nakushangaa wewe kabla ya Walioba............unaonekana unapima upepo na hiyo kura ya siri inakuumiza sana ila ujue mwisho utafika tu na utabaki kushangaa wewe na si huyo Walioba
 
Kwa nini warioba anataka kulazimisha matakwa yake aache wajumbe wapime na kuamua kipi chema au kipimhakifai kwenye rasimu yake.
na wewe umetuchosha kama mtoa mada, mnatumiwa na Wazinzibar kuwasaliti Watanganyika kama ilivyo Olesendeka aidha kwa makusudi au kwa kutojitambua wakati wao wanaofaidika kwa serikali mbili wakiwa kimya. Inauma sana
 
Kujiunga juzi hiyo sio issue kwani watu hapa wana ID tano tano hata wewe ukitaka kujiunga tena kwa jina linguine poa. Ila nimemsifu kitu kimoja anajua hadi yale maneno ya rohoni hatakayoyasema Warioba na akazidi kutabiri bunge litakuwa vp nimempa Big up sana mtoa mada.
 
Walioba ana haki ya kuzunguza yale anayoona yanafaa kwake kama mtu yeyote alivyo na haki.
 
Kwa akili yako mtu anaetetea kura ya wazi ndie anatetea maslahi ya nchi?mtu anaetetea serikali mbili ndie anatetea maslahi ya nchi?

Kumbe maslahi ya taifa yamebadilika na kua ni kura ya wazi na serikali mbili?uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana,sijui niufananishe na uwezo wa nini,hata fisi anakuzidi kuwaza.
 
Mbona yuko sahihi?!!? Mwenyezi Mungu amsaidie asifanye-editing alichopanga kuzungumza.
 
Kama ni kusikia tu hata mimi nimesikia Warioba atagawa Tablets kwa wajumbe wote!Nawatonya tu kama mleta uzi

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 

Watu wanaojua umuhimu wa utaifa na wanaishi kwa matashi waliopewa na Mwenyenzi Mungu hawaishi kwa kuangalia upepo unakwendaje. Watu wanaongalia upepo ni watu waogo na ambao ni vigeugeu hawafai hata kuwa wajumbe wa nyumba kumi. Binadamu halisi husimamia kitu kile anachokiamini kuwa ni sawa hata kama ulimwengu wote utakuwa kinyume na hicho anachoamini. Ilimradi huo ndio ukweli nadhani mwanadamu halisi anapaswa kusimamia hicho. Nitampongeza binadamu yeyote anayeweza kusimamia ukweli hata mbele ya mashetani wasiotaka ukweli. Mtu wa namna hiyo nitamfananisha na Dr. Martin Luther wa Ujerumani.
 
Kwa nini warioba anataka kulazimisha matakwa yake aache wajumbe wapime na kuamua kipi chema au kipimhakifai kwenye rasimu yake.
jee kwa nini Kinana na Nape Nnauye wanawalazimisha wabunge na kuwatisha wakubaliane na mawazo ya kimaiti ya ccm hawawachi wakatumia akili na maarifa yao kupima yaliokuwa mema na muhimu katika rasimu?
Mda mwingi nimekuwa nikieleza kuwa Simiyu Yetu hutumii akili anaposema, badala yake anakariri tu maneno kama kasuku vile. Leo amethibitisha hili.
 
Jamaa anajua Ya Moyoni du
 

Ubaya uko wapi ktk hayo mambo mawili uliyodokeza hapo?
MICCM utaijua tu!
 
Mkuu kuna watu ndani ya jamvi hawana jbusara. Hupenda kusikia iwanayopenda kusukia .hao ndio mbumbumbu wa siasa ukweli warioba ni mmoja wa viongozi waliochanganyikiwa.hata alipokuwa pm hakuna alichokifanya kiasi cha mwalimiu nyerere kushutumu kukiThiri kwa rushwa na hatimaye akajiuzuru.ni mmoja ambition ambaye hajui athari za kuvunjika kwa muungano.kwamba hajui licha ya kuwa nchi nyingi zilizovunja muungano zilipata athari gani.hajui madhadhara au athari ya serikali tatu ni nini.anafikiria gharama.lakini hafikiri athari zake.
 
Wewe umesema yako acha naye aseme ya Tume yake; UBAYA HAPA NINI. Wakipiga kura ya wazi nami nitapiga KURA
 
Nikiikumbuka hotuba ya warioba hakika nimeshindwa kumbaliza huyu mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…