warioba kuchafua hali ya hewa bungeni

wananchi wa nchi gani hiyo?? labda kuzimu manake katika pita zangu zote kote watu wanashangaa na kumshangaa warioba kuwa ameyatoa wapi hayo maoni?? mbona wao wanataka serikali mbili?? au moja?? tatu kazitoa kuzimu??

KUZIMU NAYO NI NCHI? Bahati mbaya hao ccm waliokutuma hawajakupa mbinu wanazotumia kulaghai watu! Nenda ukirudi bila shaka ngalau utajaribu kiasi chake kuwadanganya viziwi na vipofu. Lakini kwa wanaona umechelewe!! Pole sana!!
 
Eh, kumbe hawaelewi......!
Bora umetufumbua macho katika hili.

 
Warioba wa ajabu sana pale wilayani kwetu bariad wamehoji kata si zaidi ya tano halafu anasema watanzania wengi wametoa maoni yao sijui kayatoa wapi.

Kwanza hakuna Wilaya inayoitwa Bariadi, tunatambua nyie akina "Simuyu Kwetu" na wengine mpo kwenye Lumbumba Project, ikiwa ni mbinu butu ya kujibu mapigo ya wana CDM, tunamshauri Ndugu Mnawie ambaye ndiyo masimamizi wa Project hiyo aajiri watu wenye uelewa mpana wa kuweza kujenga hoja au kujibu kwa hoja iliyojengeka kujibu mapigo ya wana CDM sio kuajiri mbulula kama huyo inayijiita "Simuyu Kwetu" wakati wala haijui Bariadi ikoje. wameona wasukuma ni wajinga wajinga wa kuwahadaa, Waaambie hutudanganyiki tena.
 
hugochavez naona ulichoandika zaidi ni hisia na utashi wako na wa huyo 'mtonyaji' habari wako! Mzee Warioba anawajibu wa kufafanua kwa vizuri na undani zaidi kile kilichokusanywa na tume yake na wewe huna nafasi ya kumshauri vinginevyo...eti asiongelee kura ya siri au wazi, mara nani atawasemea wanaotaka serikali moja, nne, tano au...
Mzee Warioba hamung'unyi maneno and please let him call a spade a spade and not a hoe! .....No wonder hugochavez died !!! ...and today it is exactly one year and six days since he died March 5, 2013!!!!
 

Warioba ni mtizamo wake kama yeye, mwache ajisemee mwenyewe ikiwa +ve or -ve, yeye atakuwa katimiza wajibu wake! acahan na mambo ya kuvuruga mchakatao!
 
Umetumwa na baadhi ya watawala ndani ya CCM wamezowea kutoa ahadi kwa wananchi kuwapa 'keki' wakati wao wanataka 'mkate' halafu mwishowe keki yenyewe haipatikani badala yake vinatolewa visingizio kibao.
 

Hayo maridhiano yana nguvu kushinda nguvu ya wananchi na rasimu yao siyo! Kama ni ndiyo basi mchakato ungeanzia bungeni kwanza kabla ya kwenda kwa wananchi.chama kinachochezea hii nchi kilaaniwe
 

Watu wengine bwana, kama wa..nge vile. Kwa hiyo ukitonywa na huyo basha wako kuwa Warioba anatembea na mama yako utakuja kuweka humu jamvini? CCM hupofusha ufahamu, ni kirusi cha ukimwi ktk mwili wa siasa na demokrasia ya Tanzania. Walioathirika na kirusi hiki huzungumza km mandondocha yasiyoyojua usiku wala mchana. Poleni waathirika wote.
 
Binafsi sioni ulichotonywa maana hayo yote yako mtaani mda mrefu. Hayo atakayoyasema ndo aliyotumwa na aliyeunda tume, Rais wa nchi. Serikali tatu hazikwepeki hata Sitta anajua hilo
 
Warioba wa ajabu sana pale wilayani kwetu bariad wamehoji kata si zaidi ya tano halafu anasema watanzania wengi wametoa maoni yao sijui kayatoa wapi.

Wilaya moja kata sita!Hiyo sampling mbona inatosha kabisa,ina maana kwa wilaya zaidi ya 180 za Tanzania ukizidisha mara tano = kata 900,basi kunauwezekano wa kuwepo coverage kubwa sana,maana wengine walitumia mtandao kuwasiliana na tume na walikutatana na makundi mbalimbali kama taasisi za vyuo vikuu nk.Ngoja wataalam wa research waje kutusaidia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…