TataMadiba
JF-Expert Member
- Feb 7, 2014
- 9,866
- 5,747
Wote walioisoma vizuri Katiba inayopendekezwa watakubaliana na mimi kuwa ingefaa tuipitishe hata leo ili tuanze kufaidi matunda yake.Hivi Kati ya wanaokula na wewe umo? Au wewe unaliwa? Unawajua wanaokula? Jiulize ndugu.