Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hawa jamaa wananichekesha sana, Linapofika suala la Muungano Nyerere anakuwa mungu, Ila kwenye Rushwa, Ufisadi na umasikini Nyerere ni Shetani.
Sasa Nape tangu lini akawa na akili? wanamkumbuka Nyerere maji yanapowafika shingoni, kwahiyo huu ufisadi uliojaa serikalini na udini nchini Nyerere Alivibariki hivi? haya Nape tupe aya ya Nabii Nyerere aliporuhusu ufisadiHivi nyie watu mna nn na huyo Nyerere? Yeye alikuwa Mungu?
Mimi hawa jamaa wananichekesha sana, Linapofika suala la Muungano Nyerere anakuwa mungu, Ila kwenye Rushwa, Ufisadi na umasikini Nyerere ni Shetani.
Toeni solution ya kero za muungano chini ya serikali 2 sii kuung'ang'ania tuu halafu kila mwana ccm anasema kero zitafutiwe ufumbuzi.Imekuaje zanzibar ikawa nchi?ikawa na katiba yake?bendera yake?ikawa na amiri jeshi wake?Serikali tatu ni laana kwa watakaoibariki, dhambi hiyo itawapukutisha kama ambavyo mti hupukutisha majani wakati wa kiangazi.
Rushwa ni janga la kitaifa na wala siyo CCM, angalia ndani ya CDM kinachoendelea mpaka uchaguzi usifanyike na kuanza kufukuzana hovyo, ni rushwa tu.