Jospina
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 2,421
- 1,395
Kwa nini tusivunje Muungano wa serikali mbili na kuwa na Muungano kamili, wa serikali moja? Raisi mmoja, akitokea Bara, Makamu wake anatokea Visiwani, Raisi akae vipindi maximum viwili (miaka 10), Kuwe na Mawaziri wakuu viongozi wawili kutoka kila upande, kusiwe na wabunge wa kuteuliwa, wawepo wabunge wa kuchaguliwa.