kensh
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 527
- 113
Nilimsikiliza,alitulia,akasema bila kumung'unya maneno wala kupepesa macho.Alinikonga moyo hakika.ALIFUNIKA!
Hawakutegemea kama angewachinjia baharini kiasi kile,walidhani angejitia ktk siasa za kitoto zile za kusujudu maoni ya mwenyekiti.Alionesha maana ya kuwa mzee,aliukubali uzee,hakutaka kuitwa bebi kama lile lililomuopoaga Lulu.
Aliyasema yaleyale tuliyoyataka sisi tuliomtuma,tulimwambia akaseme tunataka serikali 3,hakutuangusha hata kidogo.
Mzee alionyesha ujasiri,alinifanya niutamani uzee,hasa ule kama wake,yaani ule uzee unaomfanya mzee awe na hamu ya kuwa rejea bora ya jamii yake.Hakujari wana ccm wangemuonaje.HAKUJARI WALA KUOGOPA!
Hakuzingatia yaliyompata Mansoor yule wa Zenji,aliyetimuliwa uanachama wa ccm kwa kuiota Tanganyika huru na Zanzibar huru.
Mzee Warioba,niambukize UJASIRI
Hawakutegemea kama angewachinjia baharini kiasi kile,walidhani angejitia ktk siasa za kitoto zile za kusujudu maoni ya mwenyekiti.Alionesha maana ya kuwa mzee,aliukubali uzee,hakutaka kuitwa bebi kama lile lililomuopoaga Lulu.
Aliyasema yaleyale tuliyoyataka sisi tuliomtuma,tulimwambia akaseme tunataka serikali 3,hakutuangusha hata kidogo.
Mzee alionyesha ujasiri,alinifanya niutamani uzee,hasa ule kama wake,yaani ule uzee unaomfanya mzee awe na hamu ya kuwa rejea bora ya jamii yake.Hakujari wana ccm wangemuonaje.HAKUJARI WALA KUOGOPA!
Hakuzingatia yaliyompata Mansoor yule wa Zenji,aliyetimuliwa uanachama wa ccm kwa kuiota Tanganyika huru na Zanzibar huru.
Mzee Warioba,niambukize UJASIRI