Wabondei kwao ni Muheza hawana asili yoyote na Pwani!Kama upo Tanga ama umewahi kuishi au kufika kuna kisiwa kipo karibu sana na bandari hiyo. Hapo kuna kabila lililoishi katika kisiwa hicho nao walikuwa wekienda Tanga au mbali zaidi wakienda nyika. Sasa wenyeji watuambie hili ni memo Kibondei ama Kidigo. Wadigo wametokea Msambweni ya Kenya. Historia ni muhimu sana. Tujuzeni wahusika
Kuhamishana? hilo suala ni pana mno!Na pwani nani walikwepo kwani Wadigo wametokea wametokea maeneo hayo walipo Waduruma. Mambo ya kale makabila kuhamishana kwa mtindo wa Vita. Mwenye nguvu mpishe
Mhh! hizi historia ziandikwazo na wamishenari hizi!Hivi ni vikazi vya asli hata hawa Wazigua walikuwa maeneo Kilimanjaro. Mkibosho ametokea Afrika kusini Wangoni hukohuko kwa hiyo Wabondei walikuwa wakiishi ktk Kisiwa hiki cha Toteni Wadigo waliwahamisha wakaingia maeneo ya Muheza hadi Halemwakinyumbi. Weberbeg wametokea Somalia
ndugu yangu mi wa kinondon???
Relax!Nimehuzunika sana, suluhisho hapa jamani ni serikali moja tu, hizo tatu za nini???
Kama upande mmoja ukikataa serikali moja maana yake wameukataa muungano na hapo uvunjwe tu!
Kuna sababu gani za kulazimishana??
Naunga mkono serikali tatu Na huo muungano sioni faida zake uvunjwe tu
Kuna nchi zaidi ya 50 zilizoungana na kuwa majimbo zinaongozwa na serikali moja tu. Tazama canada china amerika india. Nchi hizi hatuzifiki kwa ukubwa. Wingi wa watu. Uwezo wa kiuchumi. Swali migomo ya kodi ndo hiyo tutaweza serikali tatu. Bado hao wenye biashara za kuweza kulipa kwenye milango ya maduka wamachinga wasolipia cho chote ktk biashara wanapanga bidhaa mbele ya duka la mtu
Wana imeza inautamu gani mbona sioni cha maana huko?
tunazunguka sana ila suluhisho ni serikali moja na znz iwe mkoa rasmi au muungano uvunjwe tukutane EAC,kwa hali hii matatizo yatajirudia tena na znz wataendelea kulalamika wanataka mamlaka kamili