johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Makamu wa Rais na Waziri mkuu mstaafu mzee Sinde Warioba amesema mzee Mwinyi alipoingia madarakani kama Rais mwaka 1985 na yeye kuwa msaidizi wake walikuta nchi haina kabisa akiba ya fedha za kigeni.
Warioba amesema hii ilitokana na ukweli kwamba nchi ilikuwa imetoka kwenye vita ya Kagera pia palikuwa na uhaba mkubwa wa mafuta.
Warioba amesema hayi kwenye mdahalo wa kumbukizi la Edward Moringe Sokoine unaofanyika chuo kikuu cha kilimo SUA.
Source: TBC
Warioba amesema hii ilitokana na ukweli kwamba nchi ilikuwa imetoka kwenye vita ya Kagera pia palikuwa na uhaba mkubwa wa mafuta.
Warioba amesema hayi kwenye mdahalo wa kumbukizi la Edward Moringe Sokoine unaofanyika chuo kikuu cha kilimo SUA.
Source: TBC