WARIOBA: uchaguzi mkuu 2015 kutofanyika hadi katiba ya tanganyika ikamilike!

WARIOBA: uchaguzi mkuu 2015 kutofanyika hadi katiba ya tanganyika ikamilike!

Tangopori

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,628
Reaction score
1,285
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 hautaweza kufanyika mpaka hapo itakapotungwa katiba mpya ya serikali ya Tanganyika, iwapo rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapitishwa na kuwa Katiba.
Ufafanuzi huo umetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, alipokutana na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari, ambapo amesema hata hivyo kutunga katiba ya Tanganyika si tatizo kwa kuwa haitakuwa na mabadiliko mengi.

Source!
East Africa radio!
 
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 hautaweza kufanyika mpaka hapo itakapotungwa katiba mpya ya serikali ya Tanganyika, iwapo rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapitishwa na kuwa Katiba.
Ufafanuzi huo umetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, alipokutana na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari, ambapo amesema hata hivyo kutunga katiba ya Tanganyika si tatizo kwa kuwa haitakuwa na mabadiliko mengi.

Source!
East Africa radio!

Haitakuwa na mabadiliko mengi wana maanisha nini wakati hakuna katiba ya kurekebisha? Hivi Warioba bado ni Mwenyekiti au alikuwa mwenyekiti maana nakumbuka ilikuwa Tume muda wake umalizike baada tuu ya kukabidhi rasimu ya pili
 
Haitakuwa na mabadiliko mengi wana maanisha nini wakati hakuna katiba ya kurekebisha? Hivi Warioba bado ni Mwenyekiti au alikuwa mwenyekiti maana nakumbuka ilikuwa Tume muda wake umalizike baada tuu ya kukabidhi rasimu ya pili
Si alisema Tanganyika imevaa koti la Tanzania!
 
subiri wakati ufike asikae kutubashiria mambo kwanza kazi imeisha akae kimywa kabisa atuache huu ni wakati wa bunge la katiba na wananchi wote kufanya maamuzi ya mwisho.
 
Si alisema Tanganyika imevaa koti la Tanzania!

Aliyevaa koti ndiye haonekani .............. au koti ndiyo limemficha!!?? Lakini hapa Jaji Warioba asilete utani, katiba ya Tanganyika itakayofanyiwa marekebisho ni ipi hiyo!!??
 
Tanganyika haina Katiba..isipokuwa kwa kuwa ndio mdau mkubwa katika Tanzania, basi katiba ya Tanganyika itakuwa ni subset ya katiba ya Tanzania. Hivyo itatoka mulemule....
 
Kikwete will be the Second longest President to lead Tanzania
 
Sasa maoni ya katiba ya tanganyika mwenyekiti wake ndio atakuwa nani?katiba ya zanzibr inatamka wazi zanzibr kuwa ni nchi kazi kwenu wadanganyika.
 
Tanganyika haina Katiba..isipokuwa kwa kuwa ndio mdau mkubwa katika Tanzania, basi katiba ya Tanganyika itakuwa ni subset ya katiba ya Tanzania. Hivyo itatoka mulemule....

Inaonesha bado upo ucngizini,hujui wadau wakuu wa muungano?
 
... ambapo amesema hata hivyo kutunga katiba ya Tanganyika si tatizo kwa kuwa haitakuwa na mabadiliko mengi.
Anayo mfukooni tayari nini? Amejuaje kwamba haitakuwa na mabadiliko mengi?
 
Uchaguzi Mkuu wa Tanzania wa mwaka 2015 hautaweza kufanyika mpaka hapo itakapotungwa katiba mpya ya serikali ya Tanganyika, iwapo rasimu ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itapitishwa na kuwa Katiba.
Ufafanuzi huo umetolewa leo Jijini Dar es Salaam na Mwenyekiti wa Tume ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba, alipokutana na wahariri wa vyombo mbali mbali vya habari, ambapo amesema hata hivyo kutunga katiba ya Tanganyika si tatizo kwa kuwa haitakuwa na mabadiliko mengi.

Source!
East Africa radio!
Kutunga Katiba ya Tanganyika ni tatizo maana muda ni mdogo sana kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015
 
ohoooo, naona kwa mbali JK akiongoza Tz hadi 2018 sababu katiba mpya inatoa provision for kipindi cha mpito hadi muda huo ili katiba ya Tanganyika na ya Zanzibar ziwe in place.This might be is strategy kwa kuanzisha mchakato wa katiba katika awamu ya pili ya uongozi! the guy is smart in his own way au ni yale yale ya greedy African leaders! They won o step down from power unless forced to do so
 
  • Thanks
Reactions: prs
Si alisema Tanganyika imevaa koti la Tanzania!

Ndio maana akasema katiba ya Tanganyika haitakuwa na badiliko mengi, kwakuwa tayari ipo. Kitachofanyika ni kuivua hilo koti tu.

Sent from my GT-I9192 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom